Simba wakiifunga Galaxy nipigwe ban

Simba wakiifunga Galaxy nipigwe ban

Kwa furaha niliyonayo
Subiri muamala tu hamna namna [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Winja winja......[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
Wee niko hapa nasubirii message ile taamu yenye tarakimu za kushatoooo. Fanya kwelii bamsapuu wangu.
 
kwani we ilo litimu lako lenye kambi yanapopita maji taka ya chooni ni lakwenu au hujui kama ni la mzee msatafu mbona uwa mnapenda sana kujitoa ufahamu
Vyura ni wajinga sana mpaka sasa wanaamini kuwa timu ni ya wananchi wakati kuna mhuni mmoja kule alishaichukua timu kitambo.

Wamebaki tu kubetua midomo eti Simba imeuzwa 😂😂

Siku zote nyani huwa halionagi kundu lake 😂
 
Japo Mimi ni mdau wa Michezo na napenda kuona timu za Tanzania zikitoboa kimataifa ila Kwa timu hii ya Simba ni ngumu kwenda robo fainali CAF champions league, kiwango ni kidogo sana, tutaaibika kimataifa.

Kiapo
Mimi kama Labani og nikiwa na akili timamu bila kushawishiwa na mtu na declare Kwamba kama makolo wakishinda naomba nipigwe ban ya week on the spot.
Moderator kama kweli UNAMUOGOPA MWENYEZI MUNGU....! Timiza hiki KIAPO kwa huyu Mtu.

Unafki tuweke kando.
 
Japo Mimi ni mdau wa Michezo na napenda kuona timu za Tanzania zikitoboa kimataifa ila Kwa timu hii ya Simba ni ngumu kwenda robo fainali CAF champions league, kiwango ni kidogo sana, tutaaibika kimataifa.

Kiapo
Mimi kama Labani og nikiwa na akili timamu bila kushawishiwa na mtu na declare Kwamba kama makolo wakishinda naomba nipigwe ban ya week on the spot.
Mimi naona uolewe kwa wiki moja tu na utumikie majukumu ya ndoa.
 
Japo Mimi ni mdau wa Michezo na napenda kuona timu za Tanzania zikitoboa kimataifa ila Kwa timu hii ya Simba ni ngumu kwenda robo fainali CAF champions league, kiwango ni kidogo sana, tutaaibika kimataifa.

Kiapo
Mimi kama Labani og nikiwa na akili timamu bila kushawishiwa na mtu na declare Kwamba kama makolo wakishinda naomba nipigwe ban ya week on the spot.
Moderator unangoja nini mkuu?

Weka hii mutu korokoroni for 3 days tunamsamehe hizo siku nne maana aliomba apigwe ban ya week
 
Back
Top Bottom