Simba wakiifunga Galaxy nipigwe ban

siku ukiacha kutumia tecno ndo akili zako zitarudi, maana zimeenda likizo huko jangwani kwa vyura
 
Mwenzake huyu hapa🤣🤣
😁😂 Huu ni utani mzuri san, ila apa jukwaani watu wanafikia hatua mpaka kuzalilishana kwa sabab ya ushabik wa mpira ni upuuzii.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…