Jaribu kumheshimu Rage aliyepa hilo jinaMbumbu niwewe na familia yako yote
siku ukiacha kutumia tecno ndo akili zako zitarudi, maana zimeenda likizo huko jangwani kwa vyuraJapo Mimi ni mdau wa Michezo na napenda kuona timu za Tanzania zikitoboa kimataifa ila Kwa timu hii ya Simba ni ngumu kwenda robo fainali CAF champions league, kiwango ni kidogo sana, tutaaibika kimataifa.
Kiapo
Mimi kama Labani og nikiwa na akili timamu bila kushawishiwa na mtu na declare Kwamba kama makolo wakishinda naomba nipigwe ban ya week on the spot.
WivuJaribu kumheshimu Rage aliyepa hilo jina
Na kwasasa ndo limewafaa zaidi
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa kweli [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kapumbavu kaacheni maana ata soka lenyewe inaonekana kameaza kuangalia kalivofika Chuo
Moderator ni wanges sanaHuyu kumah hajapigwa ban Hadi saiv kwa sabab gani
Tuendelee kusherekea TZ kuingiza timu mbili....mkuuMods pigeni ban hii mbwa.
Simba ameshinda.... TZ imefurahiMtoa mada nasikia umesamehewa
😁😂 Huu ni utani mzuri san, ila apa jukwaani watu wanafikia hatua mpaka kuzalilishana kwa sabab ya ushabik wa mpira ni upuuzii.Mwenzake huyu hapa🤣🤣
[emoji26]Bado unarandaranda humu!
Cookie mpo online tusaidieni huyu akea angalau siku mbili tatu tumemsamehe hiyo wiki!!
Huyu jamaa ni comedian, mara ya kwanza alisema apigwe msumari wa kichwa mechi ile ...Akaomba msamaha mara hii tena😆Mwenzake huyu hapa🤣🤣