Siku yanga wakicheza naomba unijulishe na mimi nimuweke mtu rehani😆😂😂😂Aisee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siku yanga wakicheza naomba unijulishe na mimi nimuweke mtu rehani😆😂😂😂Aisee
Hauna huo ujanja thubutu 😂😂😂Siku yanga wakicheza naomba unijulishe na mimi nimuweke mtu rehani😆
Tulia wewe....we huoni tu msiba wa TaifaPiga life ban huyu
Na uchambuzi wa soka hapa jf ....nani atawaletea?Mods mtendeeni haki huyu jamaa. Ban ni haki yake. Hata ya miezi 3 tu inamtosha.
Apate alichoomba!
Thimba hii ndiyo ilipigwa na mla ndege [emoji23]Wewe ulikuwa huijui THIMBA [emoji881][emoji23]
Uto...bhanaJapo Mimi ni mdau wa Michezo na napenda kuona timu za Tanzania zikitoboa kimataifa ila Kwa timu hii ya Simba ni ngumu kwenda robo fainali CAF champions league, kiwango ni kidogo sana, tutaaibika kimataifa.
Kiapo
Mimi kama Labani og nikiwa na akili timamu bila kushawishiwa na mtu na declare Kwamba kama makolo wakishinda naomba nipigwe ban ya week on the spot.
Banned....Mbna nshasema simu alikuwa anachezea mtoto ...nahisi ndiye aliyepost....
Mwenyewe nmeshtuka kuona thread hii
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Mbona kama ameweka profile picture ya ban lakini kiuhalisisa hajapewa banBanned....
Kala ban kizembe sana😅Hakuna, lipigwe ban tu!
Eeh! Ile ilikuwa ni THIMBA 🦁 ya BONANZA LA MAPINDUZI CUP, lakini sasa hivi ni THIMBA 🦁 ya KOMBE LA KLABU BINGWA AFRIKA ☕Thimba hii ndiyo ilipigwa na mla ndege [emoji23]
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Kumbe keshalamba ban? Mods wako makini, tuache kufanya jokes na Mods! Safi sana!Kala ban kizembe sana😅
Naunga mkono hojaMods wamempa mwamba akitakacho.
Mtoto akililia Wembe unampa Gillete imkate vizuri
Ukitoka ban uondoe huo mwiko nyuma akili zikukae sawa.Japo Mimi ni mdau wa Michezo na napenda kuona timu za Tanzania zikitoboa kimataifa ila Kwa timu hii ya Simba ni ngumu kwenda robo fainali CAF champions league, kiwango ni kidogo sana, tutaaibika kimataifa.
Kiapo
Mimi kama Labani og nikiwa na akili timamu bila kushawishiwa na mtu na declare Kwamba kama makolo wakishinda naomba nipigwe ban ya week on the spot.
Bora bado Yule aliesema akatwe 'mashine'🤓🤓Kumbe keshalamba ban? Mods wako makini, tuache kufanya jokes na Mods! Safi sana!
Tulizoea kuitamka hiyo lakini inaandikwa FalkLand. Hiyo ya Moro naifahamu pia.Nilifikili Ile focal land ya moro