Simba wakija kushtuka Yanga watakua mbali sana

Simba wakija kushtuka Yanga watakua mbali sana

bryan2

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2016
Posts
3,323
Reaction score
4,679
Ndio nachelea kusema Simba wamebaki kucheza na Propaganda zisizo na tija.

Simba wamebaki kujaza watu kwenye mitandao ya kijamii na kuwatumia wanaojiita wachambuzi kwa ajili ya Very Cheap Propaganda.

Hao wanaojiita wachambuzi hawana jema na Yanga wanajaribu kubadilisha uhalisia wa mambo na kuwa Uwongo, Yanga haina jambo zuri kwao kila kitu cha Yanga ni Kukosoa tu.

Walianza kukosoa Sajili za Yanga hasa Lomalisa leo kawaziba midomo, walikuja kwenye uchaguzi wa Yanga Yanga leo imetulia, walikosoa mabadiliko ya Yanga ila leo Yanga ni timu ya mfano ipo Kisasa zaidi.

Mbaya zaidi wamekuja mpaka matokeo ya viwanjani wao kila goli la yanga ni Jepesi au kipa kahongwa sasa yanga ina pesa gani za Kuhonga kina Manula ref shuti la Aziz K, Ahmada Ref Shuti la Aziz K, kipa wa Club Tunis Ref Shuti za Aziz K, Kipa wa namungo Ref shuti la Aziz K, Kipa wa Mtibwa Ref Shuti la Aziz K

Kwa wachambuzi wa Kibongo kwao hayo ni magoli mepesi ajabu wengine hata danadana hawajui kisa wanatumika na Simba.

Karibuni limeibuka suala la Feisal Salum wameanza maneno ati kuna mikono ya wana siasa ndio chanzo cha hukumu kuipendelea Yanga ila kwa Morrison hapana hizi kelele hazikuwepo wakati aliposhinda kesi yake na kwenda Simba

Uzuri Yanga ipo chini ya mashabiki na Viongozi hodari walioweka masikio pamba na kuzidi kusaka kilele cha mafanikio kwa kuzidi kufanya makubwa kama vile..

Kuunda timu makini iliyobeba Makombe Manne.

Kumfunga Simba hata wakiamshwa saa 7 Usiku.

Kuongeza mikataba kwa wachezaji muhimu wote.

Sasa wamekuja na chaneli yao rasmi ndani ya Azam Tv.

Kuingia makundi baada ya watu wote kuamini yanga haitofuzu.

Kuwa na kitengo imara cha digitalia halina ubishi.

Kuleta umoja baina ya mashabiki.

Kutengeneza jezi kali Afrika nzima.

Taarifa zote muhimu za kifedha kuandaliwa kitaalamu na kuwasilishwa hakuna Bilion 20 za cheki ya mchongo.

Kutengeneza nafasi kwa wadhamini na michakato kuwa ya uwazi..nk

Yapo mengi sana usipoyaona itabidi uanze kutumia milango yako ya fahamu kwa umakini zaidi.
 
Unaandika Kama umekatwa kichwa pili umesoma kunijibu sio kunielewa.
Nilikuwa nakuambia wakubwa hawajibugi ujinga ... Muda umebeba majibu Yao.

Kaa kitaalam acha vilio.

Sawa mwana Simba ndaki ndaki
 
Mbali ya utopolo ni ubingwa wa NBC na kumfunga Simba. Je wajua mbali ya Simba?
 
Kama siyo muajiriwa wa Yanga, basi wewe ni mshabiki lialia.
 
YANGA MWENZANGU MBONA KAMA UMEPAGAWA? NYUZI YA NGAPI HII LEO KUHUSU SIMBA? TULIA BWANA HUYO FEISAL UMEMPA UMUHIMU MKUBWA SANA. ACHANA UFALA. ACHANA NAYE. YANGA SI YA KULIA LIA KILA SIKU. JIKAZE
 
Ndio nachelea kusema Simba wamebaki kucheza na Propaganda zisizo na tija.

Simba wamebaki kujaza watu kwenye mitandao ya kijamii na kuwatumia wanaojiita wachambuzi kwa ajili ya Very Cheap Propaganda.

Hao wanaojiita wachambuzi hawana jema na Yanga wanajaribu kubadilisha uhalisia wa mambo na kuwa Uwongo, Yanga haina jambo zuri kwao kila kitu cha Yanga ni Kukosoa tu.

Walianza kukosoa Sajili za Yanga hasa Lomalisa leo kawaziba midomo, walikuja kwenye uchaguzi wa Yanga Yanga leo imetulia, walikosoa mabadiliko ya Yanga ila leo Yanga ni timu ya mfano ipo Kisasa zaidi.

Mbaya zaidi wamekuja mpaka matokeo ya viwanjani wao kila goli la yanga ni Jepesi au kipa kahongwa sasa yanga ina pesa gani za Kuhonga kina Manula ref shuti la Aziz K, Ahmada Ref Shuti la Aziz K, kipa wa Club Tunis Ref Shuti za Aziz K, Kipa wa namungo Ref shuti la Aziz K, Kipa wa Mtibwa Ref Shuti la Aziz K

Kwa wachambuzi wa Kibongo kwao hayo ni magoli mepesi ajabu wengine hata danadana hawajui kisa wanatumika na Simba.

Karibuni limeibuka suala la Feisal Salum wameanza maneno ati kuna mikono ya wana siasa ndio chanzo cha hukumu kuipendelea Yanga ila kwa Morrison hapana hizi kelele hazikuwepo wakati aliposhinda kesi yake na kwenda Simba

Uzuri Yanga ipo chini ya mashabiki na Viongozi hodari walioweka masikio pamba na kuzidi kusaka kilele cha mafanikio kwa kuzidi kufanya makubwa kama vile..

Kuunda timu makini iliyobeba Makombe Manne.

Kumfunga Simba hata wakiamshwa saa 7 Usiku.

Kuongeza mikataba kwa wachezaji muhimu wote.

Sasa wamekuja na chaneli yao rasmi ndani ya Azam Tv.

Kuingia makundi baada ya watu wote kuamini yanga haitofuzu.

Kuwa na kitengo imara cha digitalia halina ubishi.

Kuleta umoja baina ya mashabiki.

Kutengeneza jezi kali Afrika nzima.

Taarifa zote muhimu za kifedha kuandaliwa kitaalamu na kuwasilishwa hakuna Bilion 20 za cheki ya mchongo.

Kutengeneza nafasi kwa wadhamini na michakato kuwa ya uwazi..nk

Yapo mengi sana usipoyaona itabidi uanze kutumia milango yako ya fahamu kwa umakini zaidi.
DOGO JIKAZE UNATUANGUSHA KULIA LIA.JIKAZE ACHA KITU KIPITE MPAKA MWISHO. JIKAZE HIVYO HIVYO.
 
Mbali ya Simba ni kumaliza msimu bila kikombe chochote na Tafsiri ya umwamba katika soka ni makombe tu.
tukupe taarifa Morroco aliyefika nusu final world cup ndio taifa la kwanza Kwa ubora Africa na Senegal aliyefika robo na analo kombe la Africa anasubiri unaonaje?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ni hili hili la feisal au kuna lingine mkuu,haya usilie atarudi yanga washasema..
 
Ndio nachelea kusema Simba wamebaki kucheza na Propaganda zisizo na tija.

Simba wamebaki kujaza watu kwenye mitandao ya kijamii na kuwatumia wanaojiita wachambuzi kwa ajili ya Very Cheap Propaganda.

Hao wanaojiita wachambuzi hawana jema na Yanga wanajaribu kubadilisha uhalisia wa mambo na kuwa Uwongo, Yanga haina jambo zuri kwao kila kitu cha Yanga ni Kukosoa tu.

Walianza kukosoa Sajili za Yanga hasa Lomalisa leo kawaziba midomo, walikuja kwenye uchaguzi wa Yanga Yanga leo imetulia, walikosoa mabadiliko ya Yanga ila leo Yanga ni timu ya mfano ipo Kisasa zaidi.

Mbaya zaidi wamekuja mpaka matokeo ya viwanjani wao kila goli la yanga ni Jepesi au kipa kahongwa sasa yanga ina pesa gani za Kuhonga kina Manula ref shuti la Aziz K, Ahmada Ref Shuti la Aziz K, kipa wa Club Tunis Ref Shuti za Aziz K, Kipa wa namungo Ref shuti la Aziz K, Kipa wa Mtibwa Ref Shuti la Aziz K

Kwa wachambuzi wa Kibongo kwao hayo ni magoli mepesi ajabu wengine hata danadana hawajui kisa wanatumika na Simba.

Karibuni limeibuka suala la Feisal Salum wameanza maneno ati kuna mikono ya wana siasa ndio chanzo cha hukumu kuipendelea Yanga ila kwa Morrison hapana hizi kelele hazikuwepo wakati aliposhinda kesi yake na kwenda Simba

Uzuri Yanga ipo chini ya mashabiki na Viongozi hodari walioweka masikio pamba na kuzidi kusaka kilele cha mafanikio kwa kuzidi kufanya makubwa kama vile..

Kuunda timu makini iliyobeba Makombe Manne.

Kumfunga Simba hata wakiamshwa saa 7 Usiku.

Kuongeza mikataba kwa wachezaji muhimu wote.

Sasa wamekuja na chaneli yao rasmi ndani ya Azam Tv.

Kuingia makundi baada ya watu wote kuamini yanga haitofuzu.

Kuwa na kitengo imara cha digitalia halina ubishi.

Kuleta umoja baina ya mashabiki.

Kutengeneza jezi kali Afrika nzima.

Taarifa zote muhimu za kifedha kuandaliwa kitaalamu na kuwasilishwa hakuna Bilion 20 za cheki ya mchongo.

Kutengeneza nafasi kwa wadhamini na michakato kuwa ya uwazi..nk

Yapo mengi sana usipoyaona itabidi uanze kutumia milango yako ya fahamu kwa umakini zaidi.
Mbali ya wapi wakaati simba wamefika mbali hadi wameacha kuonekana.
 
Ndio nachelea kusema Simba wamebaki kucheza na Propaganda zisizo na tija.

Simba wamebaki kujaza watu kwenye mitandao ya kijamii na kuwatumia wanaojiita wachambuzi kwa ajili ya Very Cheap Propaganda.

Hao wanaojiita wachambuzi hawana jema na Yanga wanajaribu kubadilisha uhalisia wa mambo na kuwa Uwongo, Yanga haina jambo zuri kwao kila kitu cha Yanga ni Kukosoa tu.

Walianza kukosoa Sajili za Yanga hasa Lomalisa leo kawaziba midomo, walikuja kwenye uchaguzi wa Yanga Yanga leo imetulia, walikosoa mabadiliko ya Yanga ila leo Yanga ni timu ya mfano ipo Kisasa zaidi.

Mbaya zaidi wamekuja mpaka matokeo ya viwanjani wao kila goli la yanga ni Jepesi au kipa kahongwa sasa yanga ina pesa gani za Kuhonga kina Manula ref shuti la Aziz K, Ahmada Ref Shuti la Aziz K, kipa wa Club Tunis Ref Shuti za Aziz K, Kipa wa namungo Ref shuti la Aziz K, Kipa wa Mtibwa Ref Shuti la Aziz K

Kwa wachambuzi wa Kibongo kwao hayo ni magoli mepesi ajabu wengine hata danadana hawajui kisa wanatumika na Simba.

Karibuni limeibuka suala la Feisal Salum wameanza maneno ati kuna mikono ya wana siasa ndio chanzo cha hukumu kuipendelea Yanga ila kwa Morrison hapana hizi kelele hazikuwepo wakati aliposhinda kesi yake na kwenda Simba

Uzuri Yanga ipo chini ya mashabiki na Viongozi hodari walioweka masikio pamba na kuzidi kusaka kilele cha mafanikio kwa kuzidi kufanya makubwa kama vile..

Kuunda timu makini iliyobeba Makombe Manne.

Kumfunga Simba hata wakiamshwa saa 7 Usiku.

Kuongeza mikataba kwa wachezaji muhimu wote.

Sasa wamekuja na chaneli yao rasmi ndani ya Azam Tv.

Kuingia makundi baada ya watu wote kuamini yanga haitofuzu.

Kuwa na kitengo imara cha digitalia halina ubishi.

Kuleta umoja baina ya mashabiki.

Kutengeneza jezi kali Afrika nzima.

Taarifa zote muhimu za kifedha kuandaliwa kitaalamu na kuwasilishwa hakuna Bilion 20 za cheki ya mchongo.

Kutengeneza nafasi kwa wadhamini na michakato kuwa ya uwazi..nk

Yapo mengi sana usipoyaona itabidi uanze kutumia milango yako ya fahamu kwa umakini zaidi.
Waambiage hao Ngada FC Sembe FC, Pusha FC, Punda FC, Bwimbwi FC.
 
tukupe taarifa Morroco aliyefika nusu final world cup ndio taifa la kwanza Kwa ubora Africa na Senegal aliyefika robo na analo kombe la Africa anasubiri unaonaje?
Iyo inaitwa kazi bure, Sio robo ya Wordcup ata wangefika fainali bila Kombe ni kazi bure. Duniani hakuna kombe la robo,nusu au fainali.
 
Ndio nachelea kusema Simba wamebaki kucheza na Propaganda zisizo na tija.

Simba wamebaki kujaza watu kwenye mitandao ya kijamii na kuwatumia wanaojiita wachambuzi kwa ajili ya Very Cheap Propaganda.

Hao wanaojiita wachambuzi hawana jema na Yanga wanajaribu kubadilisha uhalisia wa mambo na kuwa Uwongo, Yanga haina jambo zuri kwao kila kitu cha Yanga ni Kukosoa tu.

Walianza kukosoa Sajili za Yanga hasa Lomalisa leo kawaziba midomo, walikuja kwenye uchaguzi wa Yanga Yanga leo imetulia, walikosoa mabadiliko ya Yanga ila leo Yanga ni timu ya mfano ipo Kisasa zaidi.

Mbaya zaidi wamekuja mpaka matokeo ya viwanjani wao kila goli la yanga ni Jepesi au kipa kahongwa sasa yanga ina pesa gani za Kuhonga kina Manula ref shuti la Aziz K, Ahmada Ref Shuti la Aziz K, kipa wa Club Tunis Ref Shuti za Aziz K, Kipa wa namungo Ref shuti la Aziz K, Kipa wa Mtibwa Ref Shuti la Aziz K

Kwa wachambuzi wa Kibongo kwao hayo ni magoli mepesi ajabu wengine hata danadana hawajui kisa wanatumika na Simba.

Karibuni limeibuka suala la Feisal Salum wameanza maneno ati kuna mikono ya wana siasa ndio chanzo cha hukumu kuipendelea Yanga ila kwa Morrison hapana hizi kelele hazikuwepo wakati aliposhinda kesi yake na kwenda Simba

Uzuri Yanga ipo chini ya mashabiki na Viongozi hodari walioweka masikio pamba na kuzidi kusaka kilele cha mafanikio kwa kuzidi kufanya makubwa kama vile..

Kuunda timu makini iliyobeba Makombe Manne.

Kumfunga Simba hata wakiamshwa saa 7 Usiku.

Kuongeza mikataba kwa wachezaji muhimu wote.

Sasa wamekuja na chaneli yao rasmi ndani ya Azam Tv.

Kuingia makundi baada ya watu wote kuamini yanga haitofuzu.

Kuwa na kitengo imara cha digitalia halina ubishi.

Kuleta umoja baina ya mashabiki.

Kutengeneza jezi kali Afrika nzima.

Taarifa zote muhimu za kifedha kuandaliwa kitaalamu na kuwasilishwa hakuna Bilion 20 za cheki ya mchongo.

Kutengeneza nafasi kwa wadhamini na michakato kuwa ya uwazi..nk

Yapo mengi sana usipoyaona itabidi uanze kutumia milango yako ya fahamu kwa umakini zaidi.
Hujui maana ya wachambuzi,Genta,scars,okwi boban sunzu sio wachambuzi ni wadau tu kama mimi na wewe
 
Sisi simba hatuna tunalolisimamia tunadandia lolote lililopo mbele yake
Na ndiyo maana tuliitwa mbumbumbu. Mwekezaji amejimilikisha timu kwa kuweka bilioni 20 hewa! Wala hatuhoji. Na badala yake tuko busy kuiombea njaa Yanga!
 
Ndio nachelea kusema Simba wamebaki kucheza na Propaganda zisizo na tija.

Simba wamebaki kujaza watu kwenye mitandao ya kijamii na kuwatumia wanaojiita wachambuzi kwa ajili ya Very Cheap Propaganda.

Hao wanaojiita wachambuzi hawana jema na Yanga wanajaribu kubadilisha uhalisia wa mambo na kuwa Uwongo, Yanga haina jambo zuri kwao kila kitu cha Yanga ni Kukosoa tu.

Walianza kukosoa Sajili za Yanga hasa Lomalisa leo kawaziba midomo, walikuja kwenye uchaguzi wa Yanga Yanga leo imetulia, walikosoa mabadiliko ya Yanga ila leo Yanga ni timu ya mfano ipo Kisasa zaidi.

Mbaya zaidi wamekuja mpaka matokeo ya viwanjani wao kila goli la yanga ni Jepesi au kipa kahongwa sasa yanga ina pesa gani za Kuhonga kina Manula ref shuti la Aziz K, Ahmada Ref Shuti la Aziz K, kipa wa Club Tunis Ref Shuti za Aziz K, Kipa wa namungo Ref shuti la Aziz K, Kipa wa Mtibwa Ref Shuti la Aziz K

Kwa wachambuzi wa Kibongo kwao hayo ni magoli mepesi ajabu wengine hata danadana hawajui kisa wanatumika na Simba.

Karibuni limeibuka suala la Feisal Salum wameanza maneno ati kuna mikono ya wana siasa ndio chanzo cha hukumu kuipendelea Yanga ila kwa Morrison hapana hizi kelele hazikuwepo wakati aliposhinda kesi yake na kwenda Simba

Uzuri Yanga ipo chini ya mashabiki na Viongozi hodari walioweka masikio pamba na kuzidi kusaka kilele cha mafanikio kwa kuzidi kufanya makubwa kama vile..

Kuunda timu makini iliyobeba Makombe Manne.

Kumfunga Simba hata wakiamshwa saa 7 Usiku.

Kuongeza mikataba kwa wachezaji muhimu wote.

Sasa wamekuja na chaneli yao rasmi ndani ya Azam Tv.

Kuingia makundi baada ya watu wote kuamini yanga haitofuzu.

Kuwa na kitengo imara cha digitalia halina ubishi.

Kuleta umoja baina ya mashabiki.

Kutengeneza jezi kali Afrika nzima.

Taarifa zote muhimu za kifedha kuandaliwa kitaalamu na kuwasilishwa hakuna Bilion 20 za cheki ya mchongo.

Kutengeneza nafasi kwa wadhamini na michakato kuwa ya uwazi..nk

Yapo mengi sana usipoyaona itabidi uanze kutumia milango yako ya fahamu kwa umakini zaidi.
Lia umalize kabisa Fei Toto harudi tena utopolo.
Timu lina roho mbaya sana lile.Unambaniaje mchezaji asiende kulipwa vizuri?

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom