TUKANA UONE
JF-Expert Member
- Jan 3, 2018
- 2,345
- 6,970
Utopolo subilini mtamsajili Chama akichoka kama mkude, tunajua matamanio yenu ni makubwa sana lwa chama
Ya Mkude.Mkuu pale Yanga atacheza nafasi ya nani?
Chama kila mwaka anasajiliwa yanga halafu anacheza kwa mkopo simba
Ya Mkude.
CHAMA jr ni 🐐
Ndio maana tunaitwa mbumbumbu
Umeona idadi ya michezo lakini waliyocheza kila mmoja?PACOME amekuwa majeruhi karibu nusu msimu!
Aliyewaita MBU MBU MBU hakukosea hata kidogo!