Simba wakishinda Aprili 20, 2024, nitaamini wengi tumezidiwa sana akili na Wanasiasa

Simba wakishinda Aprili 20, 2024, nitaamini wengi tumezidiwa sana akili na Wanasiasa

Cashman

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2018
Posts
3,017
Reaction score
5,294
Kusema kweli kama kuna vitu nimefikia kujidharau sana, basi ni kushabikia hizi timu nikiamini ni timu za soka.

Ukweli ninaanza kuuona katika timu hizi ni usanii wa kiwango cha juu. Timu zimekuwa nyenzo za CCM kutawala akili za wapumbavu. Viongozi wa kisiasa wanaamua nani awe nani wakati gani?

Kama wanaweza kushawishi wachezaji wacheze chini ya kiwango ili wazidi kuwashika wapumbavu ,ni akili ya pekee sana.

Kampuni za kamari zanatengeza pesa sana kwa huu usanii katika timu.

Hata simba wakishinda kesho siwezi kuamini kuwa lilikuwa soka kweli.

Siwezi hata kuwa na furaha kama nilivyoona mambo zamani. Hizi Simba na Yanga ni mpango wa ovyo unaofaidisha wanasiasa hasa wa chama tawala.
 
Tatizo umeshajiaminisha kuwa Yanga ipo vizuri na lazima ishinde na lolote nje ya hapo ni hujuma, maelekezo,siasa.
 
Nashukuru na wewe umeona hilo.Kudhihirisha hilo ni kwamba Yanga anachukua ubingwa mwaka huu na mwaka kesho pia then Simba ataanza kua serious then ata bounce back Yanga atapotea kwa muda.

Huu ushabiki wa hizi timu unawasaidia sana watawala kwa watu kutojadili kinachoendelea siasani na badala yake kutwa kucha mwaka mzima ni Simba na Yanga tu
 
Tatizo umeshajiaminisha kuwa Yanga ipo vizuri na lazima ishinde na lolote nje ya hapo ni hujuma, maelekezo,siasa.
Derby ina mambo mengi na matokeo huwa hayatabiriki lakini tukichukua mizani ya kwa upande wa ubora wa wachezaji, Yanga ina wachezaji wenye viwango kuliko Simba.

Tukija upande wa kucheza kwa maelekezo ya kocha, Yanga wameiacha Simba.

Kwa upande wa mchezo wa ndani ya uwanja Yanga ni bora kuliko Simba. Kitakachoweza kuibeba Simba kesho ni mambo ya nje ya uwanja ikiwemo siasa, ushirikina, na rushwa.
 
Derby ina mambo mengi na matokeo huwa hayatabiriki lakini tukichukua mizani ya kwa upande wa ubora wa wachezaji, Yanga ina wachezaji wenye viwango kuliko Simba.
Tukija upande wa kucheza kwa maelekezo ya kocha, Yanga wameiacha Simba.
Kwa upande wa mchezo wa ndani ya uwanja Yanga ni bora kuliko Simba. Kitakachoweza kuibeba Simba kesho ni mambo ya nje ya uwanja ikiwemo siasa, ushirikina, na rushwa.
Mamelodi vs Yanga uchambuzi wake ulikuwaje kabla ya mechi?
 
Derby ina mambo mengi na matokeo huwa hayatabiriki lakini tukichukua mizani ya kwa upande wa ubora wa wachezaji, Yanga ina wachezaji wenye viwango kuliko Simba.

Tukija upande wa kucheza kwa maelekezo ya kocha, Yanga wameiacha Simba.

Kwa upande wa mchezo wa ndani ya uwanja Yanga ni bora kuliko Simba. Kitakachoweza kuibeba Simba kesho ni mambo ya nje ya uwanja ikiwemo siasa, ushirikina, na rushwa.
Wakati inafungwa na ihefu haikuwa bora? Au ni rushwa?

Una homa ya matokeo tofauti na ushindi kwa Yanga. Boss, Ukiruhusu homa kuwa juu hivi ni hatari sana kwa afya ya akili.
 
Mamelodi vs Yanga uchambuzi wake ulikuwaje kabla ya mechi?
Uchambuzi wa Mamelodi uliongozwa na mashabiki wa Simba na ndio maana neno UBUTHU BOTHO halikukauka humu na kutamba kununua jezi za Mamelodi. Ila kama umeshuhudia namna Mamelodi, Al Ahly, Medeama naz Belouizdad walivyopata ugumu jinsi ya kucheza na Yanga, huwezi kutarajia Simba wakimfunga Yanga kwa ishu ya ubora na mbinu na ufundi labda kwa mambo ya nje ya uwanja
 
Derby ina mambo mengi na matokeo huwa hayatabiriki lakini tukichukua mizani ya kwa upande wa ubora wa wachezaji, Yanga ina wachezaji wenye viwango kuliko Simba.

Tukija upande wa kucheza kwa maelekezo ya kocha, Yanga wameiacha Simba.

Kwa upande wa mchezo wa ndani ya uwanja Yanga ni bora kuliko Simba. Kitakachoweza kuibeba Simba kesho ni mambo ya nje ya uwanja ikiwemo siasa, ushirikina, na rushwa.
Umemaliza Kila kitu, kitakwimu, kiuwezo, kiutawala, performance na kiufundi yanga kamuacha Simba mbali, akuna namna unaweza kuitumia kwenye sayansi ya mpira kusema unaipa Simba nafasi ya kushinda iyo mechi zaidi ya kusema labda washinde kwa kutumia ushirikina, rushwa na siasa, ubora wa timu unapimwa kwa takwimu na sio bahati au ubora wa waganga wa kienyeji!
 
Wakati inafungwa na ihefu haikuwa bora? Au ni rushwa?

Una homa ya matokeo tofauti na ushindi kwa Yanga. Boss, Ukiruhusu homa kuwa juu hivi ni hatari sana kwa afya ya akili.
Mechi ya Ihefu ilikuwa ni mechi ya nne kwa Gamondi kwenye ligi kuu tokea ajiunge na Yanga na alikuwa kila mechi anaingia na kikosi kingine hivyo ni wazi alikuwa anataka kujua wachezaji wake ubora na mapungufu yao. Hivyo iliyofungwa na Ihefu ni Yanga iliyokuwa inajengwa na Gamondi.
 
Mechi ya Ihefu ilikuwa ni mechi ya nne kwa Gamondi kwenye ligi kuu tokea ajiunge na Yanga na alikuwa kila mechi anaingia na kikosi kingine hivyo ni wazi alikuwa anataka kujua wachezaji wake ubora na mapungufu yao. Hivyo iliyofungwa na Ihefu ni Yanga iliyokuwa inajengwa na Gamondi.
Homa ni kali mno. Zinafungwa mancity, real madrid na vitimu vidogo ukubwa wa Yanga ni upi kuwa ikifungwa na Simba iwe ni rushwa?
 
Homa ni kali mno. Zinafungwa mancity, real madrid na vitimu vidogo ukubwa wa Yanga ni upi kuwa ikifungwa na Simba iwe ni rushwa?
Kwahiyo hautaki kukubali kuwa Yanga imeizidi Simba kila kitu katika angle ya ubora? Halafu sizungumzii ukubwa bali ubora. Kama unakataa Yanga ni bora kuliko Simba kwasasa basi wewe utakuwa ni shabiki maandazi haujui mpira
 
Kwahiyo hautaki kukubali kuwa Yanga imeizidi Simba kila kitu katika angle ya ubora? Halafu sizungumzii ukubwa bali ubora. Kama unakataa Yanga ni bora kuliko Simba kwasasa basi wewe utakuwa ni shabiki maandazi haujui mpira
Suala la kuwa bora kuliko Simba ni moja, na ushindi siku ya mchezo ni jingine. Wanaweza kushinda au kushindwa au kudroo pamoja na kuwa bora. Unadhani Simba iliyo bora haijawahi kufungwa na Yanga isiyo bora? Mancity iliyobora haijawahi kufungwa na liverpool isiyo bora?

Ndo maana nakuambia boss kinachokusumbua ni homa ya mchezo husika, matokeo ambayo ubongo wako upo tayari kuyakubali ni Yanga kushinda tu, matokeo mengine yoyote unaona kuna tatizo mahali.
 
Derby ina mambo mengi na matokeo huwa hayatabiriki lakini tukichukua mizani ya kwa upande wa ubora wa wachezaji, Yanga ina wachezaji wenye viwango kuliko Simba.

Tukija upande wa kucheza kwa maelekezo ya kocha, Yanga wameiacha Simba.

Kwa upande wa mchezo wa ndani ya uwanja Yanga ni bora kuliko Simba. Kitakachoweza kuibeba Simba kesho ni mambo ya nje ya uwanja ikiwemo siasa, ushirikina, na rushwa.
Hata ushirikina leo hauna nafasi ya kuwasaidia Simba, siasa na rushwa vinawezekana kwa 100%.

Lakini je, Yanga nao wametafakari endapo mechi ya leo wasipopata matokeo mazuri ambayo mashabiki wao wanayategemea itawacost kwa namna gani?

Yanga asipopata matokeo mazuri leo, derby yoyote ijayo sio rahisi kuona mashabiki uwanjani.
 
Matarajio ya Watu kabla Mamelodi hajacheza ilikuwa ni kuwa Yanga ingefungwa ndani ya dkk tisini.

Mechi ya kwanza haikujengwa


Mechi ya pili haikujengwa ndani ya dkk 90.

Kwahiyo Yanga wakipata matokeo tofauti na matarajio ya wengi sio Tanzania tu bali ndani ya Afrika.

Mechi ya South Africa,makampuni ya kubet yaliipa Yanga odds 10 kushinda.

Huwezisema kuwa hayo makampuni ni mashabiki wa Simba.

Karibu Africa nzima ilidhani Yanga ingefungwa sio Simba tu.
Uchambuzi wa Mamelodi uliongozwa na mashabiki wa Simba na ndio maana neno UBUTHU BOTHO halikukauka humu na kutamba kununua jezi za Mamelodi. Ila kama umeshuhudia namna Mamelodi, Al Ahly, Medeama naz Belouizdad walivyopata ugumu jinsi ya kucheza na Yanga, huwezi kutarajia Simba wakimfunga Yanga kwa ishu ya ubora na mbinu na ufundi labda kwa mambo ya nje ya uwanja
 
Kwahiyo hautaki kukubali kuwa Yanga imeizidi Simba kila kitu katika angle ya ubora? Halafu sizungumzii ukubwa bali ubora. Kama unakataa Yanga ni bora kuliko Simba kwasasa basi wewe utakuwa ni shabiki maandazi haujui mpira
Yanga ni bora sana kuliko Simba

Kama ambavyo Mamelodi ni bora

kuliko Yanga na Mamelodi

hakuifunga Yanga ndani ya dkk 180.

Arsenal bora kuliko Aston villa na arsenal ikafungwa nyumbani.

Liverpool ni bora kuliko Crystal palace, Liverpool ikafungwa nyumbani.

Na haikuwa rushwa wala fitna.

KWA hiyo Yanga ina nafasi kubwa ya kushinda leo,ila kufungwa pia ni matokeo ingawa ina nafasi ndogo. Sasa ikifungwa Yanga isiwe hitimisho ni fail play tu bali pia yawezakuwa ni matokeo ya kimpira
 
Kwani yanga mbovu haijawahi kutoka sare au kuifunga simba nzima acha upopoma kwenye mpira everything is possible.
 
Yanga ni bora sana kuliko Simba

Kama ambavyo Mamelodi ni bora

kuliko Yanga na Mamelodi

hakuifunga Yanga ndani ya dkk 180.

Arsenal bora kuliko Aston villa na arsenal ikafungwa nyumbani.

Liverpool ni bora kuliko Crystal palace, Liverpool ikafungwa nyumbani.

Na haikuwa rushwa wala fitna.

KWA hiyo Yanga ina nafasi kubwa ya kushinda leo,ila kufungwa pia ni matokeo ingawa ina nafasi ndogo. Sasa ikifungwa Yanga isiwe hitimisho ni fail play tu bali pia yawezakuwa ni matokeo ya kimpira
Itakuwa wendawazimu kujilinganisha na timu za ulaya kwenye hili.Unawachezaji wapumbavu wenye kisirani kama Inonga,una wachezaji wanaodhani wanajua kama Ronaldo wakati ni uharo mtupu,halafu unajilinganisha na timu ambazo wachezaji wake wote wapambanaji kama Kibu Denis?
Ulaya ni ulaya na hapa bongo ni bongo.
 
Back
Top Bottom