Mnafiki Wa Kujitegemea
JF-Expert Member
- Dec 30, 2022
- 3,751
- 6,337
Yaani leo ndio umegundua hili?Itakuwa wendawazimu kujilinganisha na timu za ulaya kwenye hili.Unawachezaji wapumbavu wenye kisirani kama Inonga,una wachezaji wanaodhani wanajua kama Ronaldo wakati ni uharo mtupu,halafu unajilinganisha na timu ambazo wachezaji wake wote wapambanaji kama Kibu Denis?
Ulaya ni ulaya na hapa bongo ni bongo.
Pole sana kijana,ila hongera kwa kuanza kujikwamua taratibu.