Itakuwa wendawazimu kujilinganisha na timu za ulaya kwenye hili.Unawachezaji wapumbavu wenye kisirani kama Inonga,una wachezaji wanaodhani wanajua kama Ronaldo wakati ni uharo mtupu,halafu unajilinganisha na timu ambazo wachezaji wake wote wapambanaji kama Kibu Denis?
Ulaya ni ulaya na hapa bongo ni bongo.