Simba wakishinda naomba moderator mnipige ban week nzima

Medecin

JF-Expert Member
Joined
Nov 29, 2011
Posts
8,221
Reaction score
22,496
Japo Mimi ni mchambuzi tu na sina timu ila naomba kuungana na mchambuzi mwenzangu nguli mtaalam wa soka ndugu Labani og kuwa leo Yanga atashinda kirahisi mbele ya kikosi dhaifu cha makolo.

Yanga kifupi inapangika tu kuanzia golini hadi Namba 7 lakini kuanzia Namba 8 had 11 haipangiki hujui uanze na nani umuache nani

Utabiri wangu: Yanga 3 - 0 Simba

Soma Pia: Yanga SC VS Simba SC | Semi-Final | Community Shield | Benjamin Mkapa Stadium | 08/08/2024

NB: Kama Simba wakishinda naomba moderator mnipige week ban.



 
Naona hiyo ban itawahusu uto wengi humu nikiwemo Mimi uto lia lia ambae kwa jinsi nimeishusha kiwango kolowizard, Yanga ikifungwa Leo, kesho mapema sana, huyoooo nahamia Burundi kukwepa kulipa tozo za Madilu!!

Naomba mwenye ile clip mh akisakata rumba baada ya ule ushindi wetu wa khamsa dhidi ya mbumbumbu FC atuwekee pliz!
 
Japo Mimi ni mchambuzi tu na sina timu ila naomba kuungana na mchambuzi mwenzangu nguli mtaalam wa soka ndugu Labani og kuwa leo Yanga atashinda kirahisi mbele ya kikosi dhaifu cha makolo

Kitendo cha kuita Yanga kwa jina lake huku Simba ukiitaja kama makolo tayari inapingana na kauli yako ya kutokuwa na timu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…