Japo Mimi ni mchambuzi tu na sina timu ila naomba kuungana na mchambuzi mwenzangu nguli mtaalam wa soka ndugu Labani og kuwa leo Yanga atashinda kirahisi mbele ya kikosi dhaifu cha makolo
Ban hatutaki muweke bond wifi πSimba wakishinda nipigwe ban miezi miwili
Wahuni sio watu wazuriππ mnataka kumfanyajeBan hatutaki muweke bond wifi π
Makolo kichapo ni pieSimba wakishinda nipigwe ban miezi miwili
πππ muweke ili tujue kweli unamaanishaWahuni sio watu wazuriππ mnataka kumfanyaje
Hapa image yake imenijia aiseee mpaka roho imeniuma
Akijua hapo nimeisha.... kwenye 6Γ6 nikimpindua hv atanambia usinikunje hvo kwanza ulishaniwekaga bondπππ muweke ili tujue kweli unamaanisha
ππππAkijua hapo nimeisha.... kwenye 6Γ6 nikimpindua hv atanambia usinikunje hvo kwanza ulishaniwekaga bond
Hata mm nitawakumbushaMods tunategemea hamta tuangusha kwenye hili.
Ndio kitu gan hicho Mr koloBan haitosh mkuu weka kiporito hicho