hahaha aiseee haya mambo ni balaaaa. ila yanga wana squad hatari jamani.Kuna mwenzio kasema akatwe pmb, sasa wewe ban tu? Panda dau......
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hahaha aiseee haya mambo ni balaaaa. ila yanga wana squad hatari jamani.Kuna mwenzio kasema akatwe pmb, sasa wewe ban tu? Panda dau......
KiburudishoNdio kitu gan hicho Mr kolo
Ni noma sana mkuuhahaha aiseee haya mambo ni balaaaa. ila yanga wana squad hatari jamani.
Mmesha kandwa makoloKiburudisho
Yanga yaweka goliPunda lazima fimbo, Ikitokea Si usiingie JF hiyo wiki moja? Ni lazima utandikwe na mods?
Peleka makelele dimbwiniYanga yaweka goli
Hii yanga ....inatisha mkuuPeleka makelele dimbwini
Makelele yaelekezwe dimbwini.Hii yanga ....inatisha mkuu
naona utabiri wa jamaaa karibia unatimiaNi noma sana mkuu
Basi jiandae na ban, tuonane next week jumatanoJapo Mimi ni mchambuzi tu na sina timu ila naomba kuungana na mchambuzi mwenzangu nguli mtaalam wa soka ndugu Labani og kuwa leo Yanga atashinda kirahisi mbele ya kikosi dhaifu cha makolo.
Yanga kifupi inapangika tu kuanzia golini hadi Namba 7 lakini kuanzia Namba 8 had 11 haipangiki hujui uanze na nani umuache nani![]()
![]()
![]()
Utabiri wangu: Yanga 3 - 0 Simba
Soma Pia: Yanga SC VS Simba SC | Semi-Final | Community Shield | Benjamin Mkapa Stadium | 08/08/2024
NB: Kama Simba wakishinda naomba moderator mnipige week ban.
![]()
Uko wapi??Kuna mwenzio kasema akatwe pmb, sasa wewe ban tu? Panda dau......
Nipigie baadae nafuaUko wapi??