simba wako kwenye kikao kumtafuta mchezaji wa mbao mwenye kadi 3 za njano

simba wako kwenye kikao kumtafuta mchezaji wa mbao mwenye kadi 3 za njano

radika

JF-Expert Member
Joined
Jul 15, 2014
Posts
20,440
Reaction score
32,260
Habari zilizotufikia hivi punde simba wako kwenye kikao kumtafuta mchezaji wa mbao mwenye kadi 3 za njano*

Hadi muda huu mabishano ni makali zaidi uongozi unataka kumtuma haji manara mwanza.

Nitaendelea kuwajuza mambo mengine kadri mada inavyokwenda.
 
Hahahahaha wanachekesha balaa baada ya kubanwa mbavu kwenye mbao
 
FB_20170608_05_48_20_Saved_Picture.jpg
 
VIPI juzi WACHEZAJI Wa Yanga walijaa Mahakama ya Kisutu kumbe walikuwa wanamsubiri Manji akawapige Lunch maana njaa imeingia kwenye Swimming pool
 
Wazee wa Table football. Walibanwa sana Ccm kirumba
 
VIPI juzi WACHEZAJI Wa Yanga walijaa Mahakama ya Kisutu kumbe walikuwa wanamsubiri Manji akawapige Lunch maana njaa imeingia kwenye Swimming pool

Njaa uisikie kwa wenzako mkuu,ulimwona Canavaro alivyokuwa atatia huruma kumwelezea hali halisi manji ya njaa ya yanga,hawana hata aibu,mtu katoka matatizoni halafi unaanza kumwelezea shida zako,njaa mbaya sana,nimeamini ukiwa na njaa huoni aibu kabisaa
 
Back
Top Bottom