Leonel Ateba Mbinda
JF-Expert Member
- Feb 20, 2023
- 644
- 2,695
Simba na Coastal union watashiriki kombe la Losers msimu ujao, kiufupi Simba na Coastal wako level moja sasa hivi. Azam wako level moja na Yanga.
Kwahiyo Simba wanatakiwa wakae na Coastal wapange mikakati ya namna ya kutoboa kombe la Losers.
Ndio maana wanasajili wachezaji wa kawaida mno, wachezaji ambao hawana tofauti na wale wanaosajiliwa na Coastal au Singida Black Stars, hata Singida wanasajili vzr kuliko mnyama.
This is an out and out disgrace.
Kwahiyo Simba wanatakiwa wakae na Coastal wapange mikakati ya namna ya kutoboa kombe la Losers.
Ndio maana wanasajili wachezaji wa kawaida mno, wachezaji ambao hawana tofauti na wale wanaosajiliwa na Coastal au Singida Black Stars, hata Singida wanasajili vzr kuliko mnyama.
This is an out and out disgrace.