Kwan huelew kuwa Makolo ndio timu inayoongoza kupata penalty [emoji23]penati gani hiyo ya mchongo? refarii hana hata chembe ya aibu! alitaka kupuliza kona akafkikil kisha ikawa penalt,penati gan inapatkana kirahsi hivyo? mpira ulitolewa but ikawa penalt....!
Ndio basi tena!"Salmin Hoza hana yeyote wa kumlaumu, refa kwanza hakuwa karibu, kwa hiyo alipaswa kufahamu hilo na unapocheza namna ile unampa advantage yule ambaye anashambulia kujiangusha. Kwangu mimi haikuwa penalty ila Salmin Hoza alipaswa kuwa makini" [emoji2788] @geoff_lea ndani ya @crownsports_cm ya @crownfmtz muda huu.View attachment 3111035
Sio kweli,weka takwimuKwan huelew kuwa Makolo ndio timu inayoongoza kupata penalty [emoji23]
Bado hamhasema!penati gani hiyo ya mchongo? refarii hana hata chembe ya aibu! alitaka kupuliza kona akafkikil kisha ikawa penalt,penati gan inapatkana kirahsi hivyo? mpira ulitolewa but ikawa penalt....!
Bado ubingwa utaenda Kwa wananchiBado hamjasemaaa, msimu huu ni ubaya ubwelaaa , tajiri karudi tuliwadekeza sana , mkawa mnafaidika ma point ya bure kubebwa , sasa safari hii lazima tushinde kila mechi iwe hata kwa goli la offside kama mlilowapiga Kengold
Bado ubingwa utaenda Kwa wananchi
Mtangazaji aliye jitangaza kabisa kwamba yy ni 5imba,ila kasimamia ukweli hiyo ndiyo professional."Salmin Hoza hana yeyote wa kumlaumu, refa kwanza hakuwa karibu, kwa hiyo alipaswa kufahamu hilo na unapocheza namna ile unampa advantage yule ambaye anashambulia kujiangusha. Kwangu mimi haikuwa penalty ila Salmin Hoza alipaswa kuwa makini" [emoji2788] @geoff_lea ndani ya @crownsports_cm ya @crownfmtz muda huu.View attachment 3111035
Msimu huu tunachukuaIngawa Inabebwa ...makolo lkn kuchukua ubingwa wasahau
Labda wachukue juice za Mo!Msimu huu tunachukua