Viongozi wako hawakuamini kama Chama amewagomea kuongeza mkataba, mwishowe wakajidai hawata toa barua ya kumruhusu mlivyo mbumbumbu hamjui ata mtu aliyemaliza mkataba haitaji barua yoyote kutoka kwenu.
Mkamtumia na Ticket businesses class ya Emirate ili aka onane na Tajiri MO katika Moja ya hotel kubwa pale Dubai lakini jamaa aka chanachana vi tiketi vyenu.
Alisha wagomea miezi Sita kabla ya mkataba kwisha mkawa mna mletea visa na mwishowe mkaja na ushawishi wa MO na fedha na Bado aliwashenyeta.
Unasema mna project ya kusajili wachezaji wenye miaka Chini ya 25 wa kimataifa wakati mliosajili hakuna aliye Chini ya miaka 27.
Mutale ana kipala na kilasiku pancha anaweza kua na 29.
Kocha ana miezi zaidi ya mi nne ana fundisha lakini timu ikifika dk 70 timu inakata pumzi maana yake timu Ina Wazee wengi.