bryan2
JF-Expert Member
- Jun 8, 2016
- 3,323
- 4,679
Yes mpira wetu niwa kipekee sana, mashabiki wa nchi hii ni watu wa Pekee kabisa Nikiri hili, mpaka huu usajili unakwenda tamatika hakika tutasikia na kuona mengi sana.
Niseme hivi Simba kama Simba baada ya kutoka kapa kila sehemu hata medali ya mshindi wa pili kombe la Mapinduzi sasa wameamua kuonyesha furaha zao kupitia Yanga.
Huku Yanga wakiwa na furaha karibia 98% ya malengo yao kwenda sawa mwaka huu wao Simba ni kinyume.
Kati ya mashabiki wenye furaha kwa sasa ni mashabiki wa Simba uliza wanachofurahia utasikia tunafurahi Yanga kukosa Kombe Shirikisho, tunafurahi Nabii kuondoka Yanga, Tunafurahi Feisal kuhamia Azam hata sio kwao, tunafurahia na tetesi za Mayele kuondoka...nk inaonyesha picha halisi za mashabiki wa Simba.
Mpaka sasa wao hawajui timu yao imesajili nani huku wakiwa na msimu mbovu kabisa wamesahau kuwauliza viongozi kabisa kuhusu uwanja wao Bunju, kuhusu zile Bilio 20, Mkataba wa Vunja bei, Jezi kuchelewa, bonusi za wachezaji kama zimelipwa hilo wao haliwahusu.
Aliyesema maskini wengi wana hatari zaidi ya kutoona mbingu hakukosea yani Simba raha yao ni Yanga ikose Dira iwe kama wao yani badala ya kusema Yanga wana Mayele ngojea nasi tumlete Manzoki au Adebayor hilo kwao sahau na hili linaonyesha maisha halisi ya Mtz hata maofisi WIVU umetuzidi sio kusema nami nipambane niwe kama yeye hapana unampiga majungu kumshusha.
Mwisho wa Siku Yanga akija na rekodi za Unbeaten utawasikia Yanga wanatembeza bahasha za khaki wakisahau wao walikua kwenye vijiwe majungu kufwatilia yasiyowahusu.
Yani kwanini tuamini katika kufanikiwa kwa kumshusha mwingine na sio kumfwata pale na kupambana.
Akili za mjinga ni majungu na tamaa.
Niseme hivi Simba kama Simba baada ya kutoka kapa kila sehemu hata medali ya mshindi wa pili kombe la Mapinduzi sasa wameamua kuonyesha furaha zao kupitia Yanga.
Huku Yanga wakiwa na furaha karibia 98% ya malengo yao kwenda sawa mwaka huu wao Simba ni kinyume.
Kati ya mashabiki wenye furaha kwa sasa ni mashabiki wa Simba uliza wanachofurahia utasikia tunafurahi Yanga kukosa Kombe Shirikisho, tunafurahi Nabii kuondoka Yanga, Tunafurahi Feisal kuhamia Azam hata sio kwao, tunafurahia na tetesi za Mayele kuondoka...nk inaonyesha picha halisi za mashabiki wa Simba.
Mpaka sasa wao hawajui timu yao imesajili nani huku wakiwa na msimu mbovu kabisa wamesahau kuwauliza viongozi kabisa kuhusu uwanja wao Bunju, kuhusu zile Bilio 20, Mkataba wa Vunja bei, Jezi kuchelewa, bonusi za wachezaji kama zimelipwa hilo wao haliwahusu.
Aliyesema maskini wengi wana hatari zaidi ya kutoona mbingu hakukosea yani Simba raha yao ni Yanga ikose Dira iwe kama wao yani badala ya kusema Yanga wana Mayele ngojea nasi tumlete Manzoki au Adebayor hilo kwao sahau na hili linaonyesha maisha halisi ya Mtz hata maofisi WIVU umetuzidi sio kusema nami nipambane niwe kama yeye hapana unampiga majungu kumshusha.
Mwisho wa Siku Yanga akija na rekodi za Unbeaten utawasikia Yanga wanatembeza bahasha za khaki wakisahau wao walikua kwenye vijiwe majungu kufwatilia yasiyowahusu.
Yani kwanini tuamini katika kufanikiwa kwa kumshusha mwingine na sio kumfwata pale na kupambana.
Akili za mjinga ni majungu na tamaa.