bryan2
JF-Expert Member
- Jun 8, 2016
- 3,323
- 4,679
Baada ya Mh Raisi kutangaza dau nono la Milioni 5 kwa kila goli na pasipo na shaka Yanga ikionekana kwenda kukausha kibubu hicho Simba nao wameibuka wakitaka kupewa viti maalumu i mean wanataka fedha za mama kupitia viti maalumu yaani sandakalawe.
Hayo yote yameibuka baada ya kuona mpaka sasa wamefunga goli 2 tu na kuondoka na Tsh milioni 10 huku yanga wakikaribia milioni 50 wakiongozwa na Wanaojiita wachambuzi wao wa kimchongo wameanza kulia kwenye vyombo vya habari hata humu jf wakitaka fedha za Sandakalawe.
Agenda yao mfu ni kwamba wao wanajiona washabeba kombe la mabingwa na kutaka Raisi awape fedha zaidi ya Yanga na kusahau Mh Rais katoa hisani tu.
Suala la kujiuliza je hata Mh Rais angesema ndio anawapa million 100 kwa goli je wangeweza kupindua kile kipigo cha goli tatu kutoka kwa Morroco hawa jamaa wametoka kuwa serious na mpira na kuwekeza kwenye porojo za uwongo uwongo, sio ajabu waliletewa Manzoki kama mgombea na mpiga kura.
Simba pambaneni na sio kutegemea Vitonga kama shirikisho kwepesi mbona mlitumia uchawi pale kwa madiba.
Hayo yote yameibuka baada ya kuona mpaka sasa wamefunga goli 2 tu na kuondoka na Tsh milioni 10 huku yanga wakikaribia milioni 50 wakiongozwa na Wanaojiita wachambuzi wao wa kimchongo wameanza kulia kwenye vyombo vya habari hata humu jf wakitaka fedha za Sandakalawe.
Agenda yao mfu ni kwamba wao wanajiona washabeba kombe la mabingwa na kutaka Raisi awape fedha zaidi ya Yanga na kusahau Mh Rais katoa hisani tu.
Suala la kujiuliza je hata Mh Rais angesema ndio anawapa million 100 kwa goli je wangeweza kupindua kile kipigo cha goli tatu kutoka kwa Morroco hawa jamaa wametoka kuwa serious na mpira na kuwekeza kwenye porojo za uwongo uwongo, sio ajabu waliletewa Manzoki kama mgombea na mpiga kura.
Simba pambaneni na sio kutegemea Vitonga kama shirikisho kwepesi mbona mlitumia uchawi pale kwa madiba.