kibaravumba
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 6,634
- 7,015
Nasema wazi kabisa kwa mchezo wa jana tulipaswa kuadhibiwa.
Wachezaji wamecheza chini ya kiwango. Imefika mahali ninaanza kushawishika huenda kuna kitu zaidi ya mchezo.
Shaffi Dauda anaishi na siri. Hii michezo huwa ni fursa kwa watu wengi sana hasa wapiga dili. Ninaona mipango ya Simba kuja kushinda goli 3 -1 kwa Mkapa tuendelee na stori tulizozizoea za kutolewa kishujaa.
Liko jambo na safari ndio imefikia mwisho kwa Simba.
Wachezaji wamecheza chini ya kiwango. Imefika mahali ninaanza kushawishika huenda kuna kitu zaidi ya mchezo.
Shaffi Dauda anaishi na siri. Hii michezo huwa ni fursa kwa watu wengi sana hasa wapiga dili. Ninaona mipango ya Simba kuja kushinda goli 3 -1 kwa Mkapa tuendelee na stori tulizozizoea za kutolewa kishujaa.
Liko jambo na safari ndio imefikia mwisho kwa Simba.