netein
JF-Expert Member
- Sep 20, 2019
- 281
- 480
Fact, Jana hawa wachezaji walikuwa wanacheza makilikili tu, Zimbwe katoa assist goli 1 na cha ajabu hamna beki wa simba aliyewin header mechi ya jana!hii hapa uzuri waliohusishwa hadi leo wako kimya na klabu imekaa kimya fungu la GSM HAWA vijana wawili wanalo hadi leo watakataa hata milioni 100 ,mia za kazier chiefs wandishi wa habari wote wameifata simba huko hadi mzee wa deal SHAFFIH DAUDA?DAH
View attachment 1786518