Simba wameiga idea ya Wiki ya Mwananchi

Simba wameiga idea ya Wiki ya Mwananchi

Vichekesho

Member
Joined
Jun 20, 2024
Posts
66
Reaction score
3,277
Kuweka mambo sawa ni kwamba Simba ndiyo waanzilishi wa siku ya club yao (Simba day). Yanga wakaja na Wiki ya Mwananchi ambayo inajumuisha matukio mbalimbali kwa muda wa wiki nzima nakuhitimishwa na kilele chake katika Siku ya Mwananchi (Yanga day).

Dalali alianzisha Simba day na iliadhimishwa kwa siku 1 tu. Yanga ndiyo waasisi wa Wiki ya mwananchi na Simba wakaiga ili kuboresha Simba day nawao wakaanza kuwa na ratiba ya wiki nzima kama Yanga.
 
Yanga ni mbunifu zaidi maana Simba waliiga idea yao toka club za ulaya lakini Yanga wameanzisha kitu tofauti, hakuna club yoyote duniani iliyokuwa inaadhimisha wiki ya club hiyo ni Yanga ndiyo imewafungua macho.
Kwa hiyo Namungo akija na Namungo month unakuwa ni ubunifu mpya sababu yeye ni mwezi mzima si wiki wala siku?
 
Nchi ina vilaza sana hii na wewe ni mmoja wao
 
Aisee. Kwa hiyo mtu akitengeneza mbegu ya nyanya akalima eka moja ikampa mazao mazuri ukaja wewe ukalima eka 10 wewe unakuwa mgunduzi wa kuongeza ekari kwa mbegu uliyokuwa huijui kabla?
Naona umekuja na gobole kwenye vita ya visu
 
  • Kicheko
Reactions: Tsh
Back
Top Bottom