Kwa hiyo tufanyaje? Tununue tiketi au tusubir mageti yafunguliwe?Kuweka mambo sawa ni kwamba Simba ndiyo waanzilishi wa siku ya club yao (Simba day). Yanga wakaja na Wiki ya Mwananchi ambayo inajumuisha matukio mbalimbali kwa muda wa wiki nzima nakuhitimishwa na kilele chake katika Siku ya Mwananchi (Yanga day).
Dalali alianzisha Simba day na iliadhimishwa kwa siku 1 tu. Yanga ndiyo waasisi wa Wiki ya mwananchi na Simba wakaiga ili kuboresha Simba day nawao wakaanza kuwa na ratiba ya wiki nzima kama Yanga.
dah hatari sana, yaani amejibiwa kitaalamDuuuh mfano huu ataelewa kweli maana umefunga uzi wenyewe
Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
shida iko wapi mbona ccm wanaiga tu mengi mazuri toka kwa chadema na kuweka kwenye ilani yaoKuweka mambo sawa ni kwamba Simba ndiyo waanzilishi wa siku ya club yao (Simba day). Yanga wakaja na Wiki ya Mwananchi ambayo inajumuisha matukio mbalimbali kwa muda wa wiki nzima nakuhitimishwa na kilele chake katika Siku ya Mwananchi (Yanga day).
Dalali alianzisha Simba day na iliadhimishwa kwa siku 1 tu. Yanga ndiyo waasisi wa Wiki ya mwananchi na Simba wakaiga ili kuboresha Simba day nawao wakaanza kuwa na ratiba ya wiki nzima kama Yanga.
Sawa soma historia vizuri serikali ndio ilianzisha team za mpira otherwise ni uongo.Timu ya mpira. Yanga walianzisha mwaka 35 simba wakaiga.
Nikitaka kumuelewesha hilo. Simba waliita "Day" ila shughuli zilifanyika kwa zaidi ya siku moja. Yeye anaweweseka na majina. Majina ni kama brand tu unaweza kujiita Diamond Platnumz ila haujawahi kuwa hata na single moja iliyofika gold.sababu nagundua wabongo hampendag kufanya research kabla kuja na matamko kwa haraka haraka nilijaribu kufanya utafit tu mdogo youtube . nimekutana na video si nchini ya tatu za simba wakiadhimisha wiki yao kuelekea kilele cha siku ya simba day.. matukio yaliokuwa yanafanyika ndio yale yale ambayo yanafanyika na hizi claub kama vile usafi kuchangia dam na kutoa misaada.. sasa labda unambie walichoanzisha yanga wao ni nini.
View: https://www.youtube.com/watch?v=Mmojw3U2xoQ
jaribu kufanya reserach kabla ya kuamua kuandika vitu huna uhakika
Mashujaa yearKwa hiyo Namungo akija na Namungo month unakuwa ni ubunifu mpya sababu yeye ni mwezi mzima si wiki wala siku?
HahahaMashujaa year