nguruka wa kig0ma
JF-Expert Member
- Jan 16, 2020
- 2,946
- 2,932
We topolo unamuwaza mmeo MnyamaKolo fc saiv wanaimba FREE COMPETITION[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nyimbo zenu zitaisha siku mkichomolewa kitu mlochochomekwa na YangaWe topolo unamuwaza mmeo Mnyama
Ki mwiko sioNyimbo zenu zitaisha siku mkichomolewa kitu mlochochomekwa na Yanga
Kweli nyani haoni kundule .Watakuja kukuua Makolo FC kwa koment
Kifupi wamejua kumuonea ibra,yaani wanakuja kumuamini kipindi hiki timu ambacho timu bovu na msimu uliopita wakati wanapiga biriani lao plus sambusa walimsahau kabisa kadabra wa watu,leo timu mbov ndo wanataka kumuachia Ajibu[emoji24]
Leo Simba haijacheza, acha uongo. Bia tamu...Leo Ajib mtamu baada ya kuisaidia timu dk za refa kuipatia simba ushindi.
Kitaeleweka tu, na hizo milioni 300 alizotenga GSM kununua mechi za simba.Kolo fc saiv wanaimba FREE COMPETITION[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mnaanzaga na kelele Sana mwisho wa siku kombe mnalisikia tu.Nyimbo zenu zitaisha siku mkichomolewa kitu mlochochomekwa na Yanga
Kiswahili kipana kaka,wewe umezoea kisukumaLeo Simba haijacheza, acha uongo. Bia tamu
Kaseke huanza Mara nyingi,Kweli nyani haoni kundule .
Mbona Yanga timu ikiwa bovu wanamchezesha kaseke ,ikiwa nzuri wanamweka benchi
Na nyie tuliwanunua kwenye ngao ya hisani? Na ile mechi ya Galaxy nayo tuliinunua? Muwe wavumilivu tuKitaeleweka tu, na hizo milioni 300 alizotenga GSM kununua mechi za simba.
Hela za wachezaji wa coastal Union laki mbili kila mchezaji mmeshalipa?
Hakuna siri chini ya jua.
Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
Mmeshawalipa coastal union? Mbona unaruka ruka km harage kwa maji?Na nyie tuliwanunua kwenye ngao ya hisani? Na ile mechi ya Galaxy nayo tuliinunua? Muwe wavumilivu tu
Najua hujui ushike wapi kwa hili la kununua mechi. Ngoja kwanza mdhibitiwe ipasavyo akili zitawakaa Sawa.Na nyie tuliwanunua kwenye ngao ya hisani? Na ile mechi ya Galaxy nayo tuliinunua? Muwe wavumilivu tu
Tutalipa tu hela ipo🤣🤣🤣Kitaeleweka tu, na hizo milioni 300 alizotenga GSM kununua mechi za simba.
Hela za wachezaji wa coastal Union laki mbili kila mchezaji mmeshalipa?
Hakuna siri chini ya jua.
Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app