Simba wamekuwa wapole, na adabu juu!

Yanga anacheza kombe la walioshindwa club bingwa (Shirikisho)
Simba anacheza club bingwa Afrika.
Kati ya club bingwa na shirikisho lipi ni kubwa?
Mnacheza losers' cup halafu bado mnajiona bora? Yanga alikuwa club bingwa kwanini yupo shirikisho?
 
Yanga anacheza losers' cup a.k.a shirikisho.
Simba anacheza club bingwa a.k.a club bingwa.
Unafikiri kati ya Yanga na Simba yupi ni bora?
Yanga ilikuwa club bingwa. Kwanini anacheza shirikisho?
 
Yanga anacheza losers' cup a.k.a shirikisho.
Simba anacheza club bingwa a.k.a club bingwa.
Unafikiri kati ya Yanga na Simba yupi ni bora?
Yanga ilikuwa club bingwa. Kwanini anacheza shirikisho?
Hii ndio njia mliyobakiwa nayo kutuliza maumivu,ngoja kwenye kundi lako uwe kilaza urudi NBC ndio utaelewa shirikisho ni losers au laah
 
Yanga anacheza kombe la walioshindwa club bingwa (Shirikisho)
Simba anacheza club bingwa Afrika.
Kati ya club bingwa na shirikisho lipi ni kubwa?
Mnacheza losers' cup halafu bado mnajiona bora? Yanga alikuwa club bingwa kwanini yupo shirikisho?
Tunachojari sisi nyinyi kuchezea kichapo hakuna Cha kushiriki michuano gani wala nini
 
Yanga anacheza kombe la walioshindwa club bingwa (Shirikisho)
Simba anacheza club bingwa Afrika.
Kati ya club bingwa na shirikisho lipi ni kubwa?m
Mnacheza losers' cup halafu bado mnajiona bora? Yanga alikuwa club bingwa kwanini yupo shirikisho?
Ushindi wa Yanga umekuchoma sana pole sana kaka! Ujue Sisi Mpira tunaweza! Usisahau we are unbeaten team!
Nyie mko club bingwa mnashika mkia hamna goli wala point hata moja Mmepigwa home and away mmetia aibu sana taifa. Yanga imezoa tsh 15m Nyie ZERO fc mnatia huruma. Simba kaelekezwa kibla anachinjwa ila Bado ananguruma tu!
 
Wala haujanichoma. Nimefurahi sana kushinda. Ila kumbuka mnacheza losers cup kwahiyo Simba bado ni bora kwa Yanga.
Ni sawa na mtu mpo wote darasa la 4, akafeli akarudi darasa la 1 akashika namba 1 akaanza kumcheka aliyebaki darasa la 4 kwa kuwa namba ya mwisho kwenye mtihani.
Yanga si alikuwa club bingwa? Ilikuwaje acheze losers cup wakati ni bora?
 
Leo hutopata usingizi umeumia sana moyoni ila ndo hivyo Tena ZERO fc hamtopata mnachotaka! Yanga hatupigwi kama Ngoma home and away kama ZERO aka Zuwena aka Makolo fc! ( Zero fc sababu hamna point Wala goli club bingwa mnasindikiza wanaume tu Raja Casablanca na Horoya)

Kama Al Hilal wangekubali tucheze Mpira na si kujiangusha dakika 60 nzima Leo hii tungecheza club bingwa ila tunajua hawafiki popote na hawatuwezi
 
Tunachojari sisi nyinyi kuchezea kichapo hakuna Cha kushiriki michuano gani wala nini
Yanga ilikuwa club bingwa. Baadae mkatuacha mkacheza losers' cup.
Unajua muziki wa club bingwa lakini?
Hapa ni sawa na mtu ambaye mpo wote darasa la 4. Mtihani wa kwanza mimi nikafaulu na wewe ukafeli ukarudi darasa la 1. Mtihani wa pili wa darasa 4 nikafeli, wewe na huko darasa la kwanza ukawa nafasi ya kwanza. Ukaanza kunicheka.
Hapo kati ya mimi na wewe yupi ni bora?
Hongereni kwa ushindi wa kwenye losers' cup. Nawaombeeni mchukue kombe la timu zilizoshindwa club bingwa
 
Ha ha ha ha Al hilal imefanyaje? Hiyo ndiyo club bingwa. Washindi ndiyo wapo huko.
Nishindwe kulala kwa sababu Yanga imeshinda kwenye timu zilizoshindwa kucheza club bingwa?
Nimefurahi sana kushinda leo. Yaani ushindwe kwenye kombe la washindi hata la losers' cup ushindwe si itakuwa maajabu sana.
Yanga haina uwezo wa kucheza club bingwa. Ana uwezo wa kucheza losers cup ( shirikisho).
 
Yanga anacheza losers' cup a.k.a shirikisho.
Simba anacheza club bingwa a.k.a club bingwa.
Unafikiri kati ya Yanga na Simba yupi ni bora?
Yanga ilikuwa club bingwa. Kwanini anacheza shirikisho?
Vipi sasa uonavyo kweli mikia kuwa club bingwa ni sahihi? Au mmeonewa kupelekwa huko?. Hapo sawa na simba Quinn's kupelekwa kucheza na simba mikia dume
 
Vipi sasa uonavyo kweli mikia kuwa club bingwa ni sahihi? Au mmeonewa kupelekwa huko?. Hapo sawa na simba Quinn's kupelekwa kucheza na simba mikia dume
Club bingwa wanacheza wenye uwezo tu. Km hauna uwezo huwezi kucheza huko utaenda shirikisho (walioshindwa club bingwa).
Club bingwa ni habari nyingine kadri unavyosonga mbele ndivyo gemu inavyozidi kuwa ngumu. Waulize Yanga watakujibu kati ya club bingwa na shirikisho ipi ni rahisi?
Sawa Utopolo
 
Ndio maana nakuuliza wewe ni halali nyie mikia kuwepo hapo mnabondwa kama hivyo?
 
Ndio maana nakuuliza wewe ni halali nyie mikia kuwepo hapo mnabondwa kama hivyo?
Tupo halali utopolo. Kwenye club bingwa hakuna free tiketi. Ni uwezo wako.
Mechi ya kwanza kwenye loosers' cup mlishinda?
 

Kama shirikisho ni kombe la wasio na uwezo, kilichowafanya msibebe kombe msimu uliopita ni kitu gani? Au hujui kama mlicheza shirikisho na kuishia njiani
 
Makosa ya Manura yamekuwa ya kujirudia rudia sana

Tatizo la Simba wanashindwa achana na wachezaji kwa kuogopa wachezaji hao wataenda timu pinzani.

Hilo swala linasababisha timu inakuwa na wagebill kubwa sana wakati wangeweza achana na wachezaji kadhaa wakasajili wengine .ie

Bocco
Manura
Onyango
Inonga
Kenedi
Outtara
Huseni
Kibu
Akpan

Hao wote hawapaswi kuwa kwenye hii timu
 
Masikini Kijana vunjaprice, yale matambara aliyoagiza itabidi ayauze kwa bei ya sagura sagura!!
Yawezekana akauza endapo atakuwa katengeneza pcs chini ya 100,000
Au yawezekana asizilete kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…