Village-in
JF-Expert Member
- Aug 30, 2022
- 2,184
- 4,517
PoleNi swala la muda tu tutakuwa tunachekana wote humu.
Yanga anacheza kombe la walioshindwa club bingwa (Shirikisho)Kuchekana nasi Utopolo hapana usijifaariji Mkuu! Nyie kufeni kivyenu sisi UTOPOLO tunajua tutashinda!
Raja watu WABAD sana wamefumua mshono wa Horoya kama tulivyotarajia maana Simba ishakuwa Paka siku hizi!! Umri wa kocha na umri za wachezaji kina Babu Onyango zimepishana two years tu!!
Mavuvuzela yenu kelele kibao mitaani mkishinda huwa mnatuamshia vichanga vyetu sijui eeeh kidedeaaaa wengine Wana mizuka wanaitikia kwa nguvu eeh kidedeaaaa leo mavuvuzela hamna! Wote kimyaaaa!
Vijana wanasimba bodaboda kelele kibao honi mji mzima Fujo kama zote sifa kibao mikogo na mbwembwe za kuendesha boda boda kwa tairi moja la nyuma , Wote kimyaaaa!! majezi ya Simba yamekuwa mazito mitaani leo hamna, wote kimyaaaa!
Vijana wanasimba Leo wanatusalimia wazee kwa heshima wanasema Mzee habari za Jumapili, vipi familia hawajambo wote , sie tupo tu Mzee! Jana wangeshinda adabu zingekuwa kabatini asubuhi bila salamu wangesema "Mzee uliona Jana Pira Biriani? Mi Huwa nakwambia Chama JR ni sawa na timu yenu nzima ya Utopolo!!" Wangeuliza hivi Mzee huko utopoloni wote hamjitambui ama sivyo!
mambo murua kabisa Jiji lote kimyaaaa kahawa zetu zinashuka taratibu kweli ni Raha mustarehe Kwa utopolo sote!
Yanga anacheza losers' cup a.k.a shirikisho.Pole
Hii ndio njia mliyobakiwa nayo kutuliza maumivu,ngoja kwenye kundi lako uwe kilaza urudi NBC ndio utaelewa shirikisho ni losers au laahYanga anacheza losers' cup a.k.a shirikisho.
Simba anacheza club bingwa a.k.a club bingwa.
Unafikiri kati ya Yanga na Simba yupi ni bora?
Yanga ilikuwa club bingwa. Kwanini anacheza shirikisho?
Tunachojari sisi nyinyi kuchezea kichapo hakuna Cha kushiriki michuano gani wala niniYanga anacheza kombe la walioshindwa club bingwa (Shirikisho)
Simba anacheza club bingwa Afrika.
Kati ya club bingwa na shirikisho lipi ni kubwa?
Mnacheza losers' cup halafu bado mnajiona bora? Yanga alikuwa club bingwa kwanini yupo shirikisho?
Ushindi wa Yanga umekuchoma sana pole sana kaka! Ujue Sisi Mpira tunaweza! Usisahau we are unbeaten team!Yanga anacheza kombe la walioshindwa club bingwa (Shirikisho)
Simba anacheza club bingwa Afrika.
Kati ya club bingwa na shirikisho lipi ni kubwa?m
Mnacheza losers' cup halafu bado mnajiona bora? Yanga alikuwa club bingwa kwanini yupo shirikisho?
Wala haujanichoma. Nimefurahi sana kushinda. Ila kumbuka mnacheza losers cup kwahiyo Simba bado ni bora kwa Yanga.Ushindi wa Yanga umekuchoma sana pole sana kaka! Ujue Sisi Mpira tunaweza! Usisahau we are unbeaten team!
Nyie mko club bingwa mnashika mkia hamna goli wala point hata moja Mmepigwa home and away mmetia aibu sana taifa. Yanga imezoa tsh 15m Nyie ZERO fc mnatia huruma. Simba kaelekezwa kibla anachinjwa ila Bado ananguruma tu!
Leo hutopata usingizi umeumia sana moyoni ila ndo hivyo Tena ZERO fc hamtopata mnachotaka! Yanga hatupigwi kama Ngoma home and away kama ZERO aka Zuwena aka Makolo fc! ( Zero fc sababu hamna point Wala goli club bingwa mnasindikiza wanaume tu Raja Casablanca na Horoya)Wala haujanichoma. Nimefurahi sana kushinda. Ila kumbuka mnacheza losers cup kwahiyo Simba bado ni bora kwa Yanga.
Ni sawa na mtu mpo wote darasa la 4, akafeli akarudi darasa la 1 akashika namba 1 akaanza kumcheka aliyebaki darasa la 4 kwa kuwa namba ya mwisho kwenye mtihani.
Yanga si alikuwa club bingwa? Ilikuwaje acheze losers cup wakati ni bora?
Yanga ilikuwa club bingwa. Baadae mkatuacha mkacheza losers' cup.Tunachojari sisi nyinyi kuchezea kichapo hakuna Cha kushiriki michuano gani wala nini
Ha ha ha ha Al hilal imefanyaje? Hiyo ndiyo club bingwa. Washindi ndiyo wapo huko.Leo hutopata usingizi umeumia sana moyoni ila ndo hivyo Tena ZERO fc hamtopata mnachotaka! Yanga hatupigwi kama Ngoma home and away kama ZERO aka Zuwena aka Makolo fc! ( Zero fc sababu hamna point Wala goli club bingwa mnasindikiza wanaume tu Raja Casablanca)
Kama Al Hilal wangekubali tucheze Mpira na si kujiangusha dakika 60 nzima Leo hii tungecheza club bingwa ila tunajua hawafiki popote na hawatuwezi
Vipi sasa uonavyo kweli mikia kuwa club bingwa ni sahihi? Au mmeonewa kupelekwa huko?. Hapo sawa na simba Quinn's kupelekwa kucheza na simba mikia dumeYanga anacheza losers' cup a.k.a shirikisho.
Simba anacheza club bingwa a.k.a club bingwa.
Unafikiri kati ya Yanga na Simba yupi ni bora?
Yanga ilikuwa club bingwa. Kwanini anacheza shirikisho?
Club bingwa wanacheza wenye uwezo tu. Km hauna uwezo huwezi kucheza huko utaenda shirikisho (walioshindwa club bingwa).Vipi sasa uonavyo kweli mikia kuwa club bingwa ni sahihi? Au mmeonewa kupelekwa huko?. Hapo sawa na simba Quinn's kupelekwa kucheza na simba mikia dume
Ndio maana nakuuliza wewe ni halali nyie mikia kuwepo hapo mnabondwa kama hivyo?Club bingwa wanacheza wenye uwezo tu. Km hauna uwezo huwezi kucheza huko utaenda shirikisho (walioshindwa club bingwa).
Club bingwa ni habari nyingine kadri unavyosonga mbele ndivyo gemu inavyozidi kuwa ngumu. Waulize Yanga watakujibu kati ya club bingwa na shirikisho ipi ni rahisi?
Sawa Utopolo
Tupo halali utopolo. Kwenye club bingwa hakuna free tiketi. Ni uwezo wako.Ndio maana nakuuliza wewe ni halali nyie mikia kuwepo hapo mnabondwa kama hivyo?
Club bingwa wanacheza wenye uwezo tu. Km hauna uwezo huwezi kucheza huko utaenda shirikisho (walioshindwa club bingwa).
Club bingwa ni habari nyingine kadri unavyosonga mbele ndivyo gemu inavyozidi kuwa ngumu. Waulize Yanga watakujibu kati ya club bingwa na shirikisho ipi ni rahisi?
Sawa Utopolo
Makosa ya Manura yamekuwa ya kujirudia rudia sanaRobo tatu ya wachezaji wa Simba including Manula hawastahili kuwepo/kucheza Simba......
Hata ungemleta Klopp, Mourinho, Guardiola wote hao wakae pale benchi kwa wachezaji waliopo Simba hii, wallahi hawatoboi....
Ni vile ligi yetu nayo ni ya kimagumshi sana...ndo maana tumesubiri Raja aje atuoneshe panapovuja
Yawezekana ila hesabu haziko upande wetuBado Simba ana nafasi ya kwenda robo fainali, waliobaki tunawamudu tushindwe wenyewe.
Yawezekana akauza endapo atakuwa katengeneza pcs chini ya 100,000Masikini Kijana vunjaprice, yale matambara aliyoagiza itabidi ayauze kwa bei ya sagura sagura!!