Simba wameset standards, mipango makini!

Simba wameset standards, mipango makini!

Wanasimbaaaaa!

Najua leo rafiki zetu Uto nyuzi nyingi watakuwa wanapita kama hawazioni lakini ndio mpira na utani wa jadi.

Simba wameweka mpira wetu kwenye ramani misimu 5 sasa na kufanya hata ligi yetu iongezeke thamani. Hata ubora wa sasa wa Yanga benchmark yao ni Simba kuanzia mfumo wa utawala hadi namna ya kuzikabili international games.

Sasa Yanga chukueni hii pia. Kuelekea game dhidi ya Yanga huku pia kukiwa na kibarua dhidi ya Wydad Casablanca wiki hiyo hiyo! Pamoja na mazoezi ya kiufundi na physical fitness, club ilitumia tarehe 15 April kwaajili kuandaa timu kisaikolojia chini ya Mwalimu nguli wa saikolojia Dr Chriss Mauki! Hii ni kwa mujibu wa page ya Dr Mauki mwenyewe.

Binafsi nawapongeza sana viongozi wa Simba kwa kuandaa timu kisasa badala ya enzi za kwenda kulala kwa waganga! Sasa Uto chukueni na hiyo! Mpira unahitaji maandalizi hata ya kiakili ndio maana jana mliona tofauti ya wakamiaji na watulivu waliofundwa kiakili [emoji23]

Jana Nyoni na Mzamiru walifanya Uto wavunje kiungo nzima kuwakabili lakini bado shughuli ikawa pale pale fimbo za mwanaukome zikaendelea [emoji23]

Asante Rastaman Kibu Diii kwa kuninyooshea mdaka mishale [emoji23][emoji23][emoji23]
hongereni kwa kutimiza malengo yenu ya msimu,robo fainali kimataifa na kumfunga yanga hakika tunawaonea donge coz sisi malengo yetu ya kutetea vikombe tulivyoshinda msimu uliopita na kuleta kombe la kimataifa kwa mara kwanza ktk taifa hili dabo hayajatimia...HONGERA MTANI
 
Kibuu Dee apewe ulinziiii.

Inongaaa popote ulipooo, kabla hujahama Bongo fanyaa uache Mbegu hapaa

[emoji881][emoji881][emoji881]
Kumbe Mnajua, ili kizazi kiendelee ni lazima mtu mwanamke na Mwanaume wakutane kimwili.


Ila mnajitoa ufaham Kila kukicha, Mnachochea masuala ya Ushoga humu .


Sasa hiyo mbegu ,ataiachaje ,ikiwa unataka Kib Dee Nawewe mlane ???.
 
Kwasasa Yanga imefanikiwa kwakua Mtani hafikirii tena Mataji, Simba imewekwa kwenye position ya kufikiria namna ya kupata matokeo Kwa Yanga na kushangilia position Yao kwenye rank za CAF.
Wakati huo Yanga inaendelea kutia nguvu katika kusaka Taji la kwanza la Caf.
Uku Simba anakaa akisubiri miaka kadhaa kutwaa kombe lake la kumfunga Yanga.

Maana Malengo yametofautiana kulingana na viongozi waliopo kwasasa.
Wengine Mkutano wao mkuu Moja ya ajenda ni kumfunga Yanga wakati Yanga kwao iyo si ajenda tena.
 
Back
Top Bottom