Wakati anaajiriwa alipewa malengo ya timu, ngoja nikupe kwa harakaharaka malengo mawili halafu use me kama afukuzwe ama abaki, 1: KUCHUKUA UBINGWA WA LIGI KUU BARA 2: KUINGIA HATUA YA MAKUNDI KLABU BINGWA AFRIKA, sasa kipi hajatimiza ili afukuzwe?Mo kawekeza hela,wachezaji wazuri ila hamna matokeo mazuri,kocha hana haja kulaumu mtu ,hana mbinu mbadala
Sent using Jamii Forums mobile app