Suley2019
JF-Expert Member
- Oct 7, 2019
- 2,203
- 5,610
UwayezuFrancoisRegis amewahi kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Shirikisho la Soka la Rwanda kwa zaidi ya miaka mitatu, Makamu Mwenyekiti wa Klabu ya APR. Pia ni Mwanachama Mwanzilishi wa Chama cha Makocha wa Soka Rwanda na Mratibu Mkuu wa CAF
PIA SOMA
- Imani Kajula aomba kuachia ngazi ya Mtendaji Mkuu (CEO) Simba. Je, ni dalili ya kurejea kwa Barbara Gonzalez?