Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aking'ang'ania madaraka sisi hatumo wallahNackia huyo CEO amewahi kuwa m23
Simba ina CEO mmoja tu na ndio huyo aliyetambulishwa, aliyekuwa CEO kabla ya huyo amemaliza muda wake.Nijibu swali langu mana sielewagi
baada ya Sanda fc kumpa uraia bure bure mkimbizi kibu dii kibu denga sasa wameona wawape mashushu ya kagame kazi nchini...hii haikubali,haka katimu kataipeleka pabaya nchi yetu kwa kufosi mambo ili waonekane na wao wamoView attachment 3052621
View attachment 3052622
Bodi ya Wakurugenzi ya Klabu ya Simba imemteua Raia wa Rwanda, Uwayezu Francois Regis kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Klabu hiyo kuanzia Agosti 1, 2024 baada ya Mkurugenzi aliyekuwepo, Imani Kajula kujiuzulu miezi michache iliyopita
UwayezuFrancoisRegis amewahi kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Shirikisho la Soka la Rwanda kwa zaidi ya miaka mitatu, Makamu Mwenyekiti wa Klabu ya APR. Pia ni Mwanachama Mwanzilishi wa Chama cha Makocha wa Soka Rwanda na Mratibu Mkuu wa CAF
PIA SOMA
- Imani Kajula aomba kuachia ngazi ya Mtendaji Mkuu (CEO) Simba. Je, ni dalili ya kurejea kwa Barbara Gonzalez?
Nackia huyo CEO amewahi kuwa m23
Tatizo wanasikiliza taarifa za vijiweni na ushabiki. Hajui kama Kajura sio msemaji WA Simba. Mzee Magoma kawachanganya 😂Hakuna cha voice note, tikisa kichwa tu. Haiwezekani kila anayekuelewesha huelewi. Hiyo siku nyingine jitahidi kujieleza vizuri utajibiwa vizuri
Unapigwa kavu kivipi???Mnyarwanda ndio mpango mzima hawacheki na kima hao jamaa. Ukizingua zinapigwa hata kavu kavu.



Kwenye taasisi yoyote ile inakuwa na CEO ) Afisa Mkuu Mtendaji ) Mmoja tu. Lakini Wakurugenzi huwa wanakuwa wengi kutegemea na kitengo .Simba ina Ma CEO wangapi
Ndo mana nashangaa mana naskia Ma Ceo wengi wengi..Kwenye taasisi yoyote ile inakuwa na CEO ) Afisa Mkuu Mtendaji ) Mmoja tu. Lakini Wakurugenzi huwa wanakuwa wengi kutegemea na kitengo .
Mangungu ni mwenyekiti wa simba sport club, upande wa wanachama.Ndo mana nashangaa mana naskia Ma Ceo wengi wengi..
Kwani Mangungu ni nani?
Mwenyekiti wa Simba upande wa WanachamaNdo mana nashangaa mana naskia Ma Ceo wengi wengi..
Kwani Mangungu ni nani?
Hapa sasa ndo nmeelewa haswaaMangungu ni mwenyekiti wa simba sport club, upande wa mashabiki.
MO ni mwenyekiti wa board( kabla yake alikuwa ni tyr again)
Huyu ni CEO.
Hebu wanitajieSimba ina Ma CEO wangapi
Bora umeanzisha tuition. Timu ya Magoma INA vihiyo wengi😁Mangungu ni mwenyekiti wa simba sport club, upande wa wanachama.
MO ni mwenyekiti wa board( kabla yake alikuwa ni tyr again)
Huyu ni CEO.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nackia huyo CEO amewahi kuwa m23
Yupo na yupiSimba ina Ma CEO wangapi