Simba wana jambo lao kesho. Wanadai jambo la Watani zao limebuma

Kweli Simba ndio ilipofikia uku!! Yaani CEO wa Klabu anafikia hatua ya kupokea na kupiga picha na tuzo za mchongo!!
Sikufikiri kua anguko la Simba litakua kubwa Kwa kiwango hiki.
 
CEO wetu Barbara nampenda sana, nitaendelea kumwombea aendelee kidumu kwenye hiyo nafasi hata kwa miaka 20 ijayo

Kweli Simba ndio ilipofikia uku!! Yaani CEO wa Klabu anafikia hatua ya kupokea na kupiga picha na tuzo za mchongo!!
Sikufikiri kua anguko la Simba litakua kubwa Kwa kiwango hiki.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…