Lupweko
JF-Expert Member
- Mar 26, 2009
- 23,566
- 24,891
kama jii esiHata wafankazi wa ndani wanaenda Dubai
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kama jii esiHata wafankazi wa ndani wanaenda Dubai
na yule kipa wa singida aliyewapa Makolo goli unamzungumziaje?? Fei Toto hatoki bure, walete hela wapewe mchezaji!Nyie mtachukua ubingwa tu, kipa wa mtibwa alinipa jibu la kutosha kwamba ninyi ni mabingwa haswa.
Ukijaribu kuangalia hili suala kuna kitu utagundua, kuanzia viongozi, wachambuzi, waandishi wa habari wenye vinasaba vya usimba pamoja na mashabiki wao wanatetea kwa ngugu zote upande mojawapo. Je wao wananufaika nini na huo upande wanaoutetea?
Je hizi ndio mbinu mpya za nje ya uwanja wameona wazitumie baada ya ndani ya uwanja mambo kuwa magumu kwao?
Unafikiri hawayajui hayo? Ni wivu tu na roho mbaya. Wanajifunza mengi kutokea Simba ila badala yake wanataka kushindana na yule wanayejifunza kutoka kwake badala ya kuwa wanyenyekevu.Klabu zote za maana zinaweka malengo mashindano ya CAF klabu bingwa. Katika mashindano makubwa kufanikiwa kuna viwango na kiwango bora zaidi ni kuwa bingwa. Morocco hakuwa bingwa WC lakini kufika nusu final ni mafanikio na ni mwenda wazimu tu atasema bingwa wa Afcon Senegal Wana furaha kuliko Morocco.
Mashindano ya CAF yanakupa furaha kila hatua unayosonga mbele. Klabu ya maana itaona hii ligi ni ya kukupatia tiketi tu ili kushiriki kimataifa.
Wakati huu ndio unalitambua hilo? Kwani Yanga walikuwa wanapata faida gani kuwapokea timu pinzani zilizokuwa zinacheza na Simba kwenye mashindanon ya caf?Ukijaribu kuangalia hili suala kuna kitu utagundua, kuanzia viongozi, wachambuzi, waandishi wa habari wenye vinasaba vya usimba pamoja na mashabiki wao wanatetea kwa ngugu zote upande mojawapo. Je wao wananufaika nini na huo upande wanaoutetea?
Je hizi ndio mbinu mpya za nje ya uwanja wameona wazitumie baada ya ndani ya uwanja mambo kuwa magumu kwao?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] aisee mnatia huruma sana. Kumbe anavowakandaga Huwa inawauma sana paka mnatamani awe upande wenu??
Kwaniimi pia ntagawiwa?mimi nawe twachangamsha baraza hapa.na yule kipa wa singida aliyewapa Makolo goli unamzungumziaje?? Fei Toto hatoki bure, walete hela wapewe mchezaji!
We kolo tulia Feitoto haendi popote ataozea benchiKwaniimi pia ntagawiwa?mimi nawe twachangamsha baraza hapa.
Acha porojo lala amka fanya yanayokuhusu watu wanatoa maoni kwa like wanachokionaMtu yoyote anayesimama upande wa feitoto mnamwona ni Simba au sababu feitoto alienda Dubai na Simba ameenda KUWEKA Kambi huko
We dunduka hebu nenda Kawasaidie wenzako wanaotaka kwenda FIFAUtopolo Og aka mcheza uchi og aka kandambili og aka wauza bwimbwi og aka gongowqzi og
Hatuna shida na wale vilaza wenu walipigwa chini na morison n baadae mkamsajili na kumlipa mshahara mkubwa kwa ukihiyo wenuWe dunduka hebu nenda Kawasaidie wenzako wanaotaka kwenda FIFA
Faisal alipotoka Unguja hamu yake ilikuwa ni kucheza SIMBA..ila mahitaji ya nyakati yakampeleka yangaUkijaribu kuangalia hili suala kuna kitu utagundua, kuanzia viongozi, wachambuzi, waandishi wa habari wenye vinasaba vya usimba pamoja na mashabiki wao wanatetea kwa ngugu zote upande mojawapo. Je wao wananufaika nini na huo upande wanaoutetea?
Je hizi ndio mbinu mpya za nje ya uwanja wameona wazitumie baada ya ndani ya uwanja mambo kuwa magumu kwao?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] pole sana Kwa maumivu. Paka saivi mnapumulia mashineHatuna shida na wale vilaza wenu walipigwa chini na morison n baadae mkamsajili na kumlipa mshahara mkubwa kwa ukihiyo wenu
Luc eymael hakukosea kuwaita manyani mambwa mna bweka bweka hovyo hamna akili
Ushawahi sikia hii kauli "adui muombee njaa"?Ukijaribu kuangalia hili suala kuna kitu utagundua, kuanzia viongozi, wachambuzi, waandishi wa habari wenye vinasaba vya usimba pamoja na mashabiki wao wanatetea kwa ngugu zote upande mojawapo. Je wao wananufaika nini na huo upande wanaoutetea?
Je hizi ndio mbinu mpya za nje ya uwanja wameona wazitumie baada ya ndani ya uwanja mambo kuwa magumu kwao?
Mkuu Bora ubakie kule kwenye mambo yako ya tunguli, haya mambo ya mpira yapo juu ya uelewa wako[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Faisal alipotoka Unguja hamu yake ilikuwa ni kucheza SIMBA..ila mahitaji ya nyakati yakampeleka yanga
MImi na wewe nani anafanya porojo, soma ulichoandika halafu ujitafakariAcha porojo lala amka fanya yanayokuhusu watu wanatoa maoni kwa like wanachokiona
Ukipata wasaa pia uende na kwa kipa wa Simba, Azam na club african ukaendelee kupata majibuNyie mtachukua ubingwa tu, kipa wa mtibwa alinipa jibu la kutosha kwamba ninyi ni mabingwa haswa.