Simba wana mgao kwa Samatta kwenda Aston Villa?

Simba wana mgao kwa Samatta kwenda Aston Villa?

Eti kila anapouzwa simba itapata pesa!....hakuna hio biashara..pesa simba alipata samata alipotoka mazembe na kwenda genk
 
Kwenye kipindi cha KIPENGA EXTRA usiku huu Rage amepigiwa simu kuhusu kipengele cha Simba kupata % .
Amesema ni kweli kipindi wanamuuza kwenda TP MAZEMBE walisaini kipengele hicho.
Yaani kila Samatta anapohama timu Simba wanapata 20% yao... Ila akasema hajui kama UONGOZI mpya ulisimamia vzr kipengele hicho au walifanya ujanjaujanja.
Ni mchezaji gani mwingine duniani ana mkataba kama huo, kuwa timu iliyomuuza inapata pesa milele kila anapouzwa?
 
Ni mchezaji gani mwingine duniani ana mkataba kama huo, kuwa timu iliyomuuza inapata pesa milele kila anapouzwa?
Ha ha ha kuna taahira mmoja alidai simba itanufaika na Samatta hadi atakapostafu
 
Ha ha ha kuna taahira mmoja alidai simba itanufaika na Samatta hadi atakapostafu
Inasikitisha kuwa na kiongozi mwenye upeo mdogo kama HUYU, huku akifahamu kuwa adanganya mburura wenzake
 
Back
Top Bottom