ngara23
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 9,091
- 21,087
Nawapongeza Simba wana project nzuri, wameamini damu na wanacheza vyema
Coach Fadlu amekuwa coach Bora kabisa, amefanya rotation ya kikosi na kila mchezaji amempa nafasi
Mashabiki waache kuipa timu pressure ya ubingwa, naona level za kuwa bingwa Bado kidogo
Marekebisho
1. Shabalala akae bench
Coach akubali kuwa Shabalala amechoka, anaonekana kabisa hana upepo wa kupanda na kushuka nashauri aanze bwana mdogo Valentine Nouma
2. Che Malon ni beki dhaifu
Huyu jamaa sio mzuri kwenye kasi alipata pressure kutoka Kwa Aziz, Pacome, max na Mzize atafanya makosa na kufungwa ni laZima
3 Ngoma na Kagoma
Ngoma ni mzuri lakini umri umeenda bahati mbaya Debora hajawa Bora
Nadhani hApa Simba waingie sokoni walete kiungo
4 Ateba
Huyo baunsa hamna kitu, ni butu
Apewe nafasi Mukwala
5 wawatoe akina Kibu
Huyu ni kama chizi kiwanjani
Zimebaki mechi 9 na Yanga imejipata baada ya makosa ya management juu ya nidhamu ya wachezaji na bench la ufundi
Sasa fitness imerudi na ubingwa ni lazima
Coach Fadlu amekuwa coach Bora kabisa, amefanya rotation ya kikosi na kila mchezaji amempa nafasi
Mashabiki waache kuipa timu pressure ya ubingwa, naona level za kuwa bingwa Bado kidogo
Marekebisho
1. Shabalala akae bench
Coach akubali kuwa Shabalala amechoka, anaonekana kabisa hana upepo wa kupanda na kushuka nashauri aanze bwana mdogo Valentine Nouma
2. Che Malon ni beki dhaifu
Huyu jamaa sio mzuri kwenye kasi alipata pressure kutoka Kwa Aziz, Pacome, max na Mzize atafanya makosa na kufungwa ni laZima
3 Ngoma na Kagoma
Ngoma ni mzuri lakini umri umeenda bahati mbaya Debora hajawa Bora
Nadhani hApa Simba waingie sokoni walete kiungo
4 Ateba
Huyo baunsa hamna kitu, ni butu
Apewe nafasi Mukwala
5 wawatoe akina Kibu
Huyu ni kama chizi kiwanjani
Zimebaki mechi 9 na Yanga imejipata baada ya makosa ya management juu ya nidhamu ya wachezaji na bench la ufundi
Sasa fitness imerudi na ubingwa ni lazima