technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 12,706
- 52,355
"Finger print" nakwambia wewe mleta mada sasa ole wako utuite tena mbumbumbu FC usije rusha ngumi huku.Mkuu kumbe na Namungo alifika Robo Fainali? Lakini pia kumbuka Namungo kucheza game nyingi za kimataifa akiwa nyumbani na sio ugenini katika hatua ya awali Kabla hajaingia Makundi
jengeni tu timu mtani mtapunguza malalamiko, maana imekuwa kila kitu ni Karia Tu, sijui Karia ndio amefanya Hadi leo hii saporng awe na goli 4,sijui Karia ndio kafanya Leo kisinda ana assist 4 Tu, sijui Karia ndio kafanya Metacha akawapa FINGERPRINT