technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 12,706
- 52,355
Namungo alikuwa CAF na walitolewa pamoja na simba ila wamecheza gemu 31 wakati simba gemu 27 hapa hakuna gemu wamecheza je walikuwa wapi.
Ligi imekuwa ya kipumbavu Karia ni takataka kabisa
Yanga juzi alicheza na kesho anacheza ila simba ndani ya siku 20 amecheza gemu moja.
Simba mnabebwa lazima muambiwe ukweli
Tanzania tuliaminishwa hakuna covd ila cha kushangaza ligi mpaka mwezi 7 itakuwa haijaisha
Najiuliza tu usajili unaanza lini na timu zitafanya lini pre season
TFF ni takataka kabisa
Ligi imekuwa ya kipumbavu Karia ni takataka kabisa
Yanga juzi alicheza na kesho anacheza ila simba ndani ya siku 20 amecheza gemu moja.
Simba mnabebwa lazima muambiwe ukweli
Tanzania tuliaminishwa hakuna covd ila cha kushangaza ligi mpaka mwezi 7 itakuwa haijaisha
Najiuliza tu usajili unaanza lini na timu zitafanya lini pre season
TFF ni takataka kabisa