Rogers luyangi
JF-Expert Member
- Sep 15, 2014
- 552
- 948
Kwa msimu wa pili mfululizo Simba wanatolewa kwa changamoto ya mikwaju ya penati katika hatua ya Robo Final kwenye mashindano ya CAF.
Nyakati kama hizi ndio unakumbuka kipindi ambacho Juma K. Juma akiwa langoni ilikua ni ngunu sana kupigwa penati tano (5) bila kucheza walau penati moja.
Simba wanahitaji kipa aina ya Kaseja au ujuzi wake wakufundisha makipa pale ndani ya timu ya Simba.
Nyakati kama hizi ndio unakumbuka kipindi ambacho Juma K. Juma akiwa langoni ilikua ni ngunu sana kupigwa penati tano (5) bila kucheza walau penati moja.
Simba wanahitaji kipa aina ya Kaseja au ujuzi wake wakufundisha makipa pale ndani ya timu ya Simba.