Kwa mchezo huu makolo wangeujaza uwanja wa mkapa Kwa fujo sana mkuuNiambie lini Simba au Yanga iliwahi kutumia uwanja wa Mkapa wakaingiza mapato ya milioni 500 baada ya makato yote.
Unaweza kuwa na hoja ila unaiharibu hoja yako kwa kuchomekea data za uongo.
🤣🤣Bariadi Kwa wafuga fisi ....kama chombo Cha usafiri[emoji23]
haswaKwa hii timu inayoshinda kagoli kamoja
Simba imeshajaza sana huo uwanja, niambie ni lini iliwahi kuingiza milioni 500 baada ya makato yote.Kwa mchezo huu makolo wangeujaza uwanja wa mkapa Kwa fujo sana mkuu
Hilo kosa wanafanyaga wengiNadhani mkuu unamaana ya kwamba imekosa mapato na siyo kupata hasara, hivyo ni vitu viwili tofauti
Wewe unayejua tuwekee wazi. Nipe mfano mmoja. Tumewahi kuwekewa mikeka ya mapato ya kwa Mkapa na haijawahi kufika hiyo pesa.Sema huwa hawaweki wazi mkuu
Sasa si ungemshauri angeweka walau milioni ngapi za madafu! Maana hasara kwa namna yoyote ile haikwepeki baada ya kupigwa faini na pia kufungiwa na CAF.Niambie lini Simba au Yanga iliwahi kutumia uwanja wa Mkapa wakaingiza mapato ya milioni 500 baada ya makato yote.
Unaweza kuwa na hoja ila unaiharibu hoja yako kwa kuchomekea data za uongo.
Ulaya huwa wanafungiaga jukwaa moja au mawili tu baaas. CAF nao wapo too primitive..SIMBA [emoji881] WAPATA HASARA MILIONI 638[emoji736]
Klabu ya Simba imeingia hasara ya zaidi ya Shilingi Million 600 kutokana na baadhi ya mashabiki wake kufanya fujo na kung'oa viti kwenye mechi ya Shirikisho...
Kutokana na Matukio hayo Simba imefungiwa kuingiza mashabiki mechi ya mwisho ya kundi dhidi ya Costantine.
Kitendo cha Simba kutoingiza madhabiki kunaikosesha simba mapato ya mlangoni zaidi ya Million 500
Pia Simba imetozwa Faini ya Dollar 40,000 (sh.Million 100) za kitanzania kwa kufanya fujo hizo
Pia Simba imetozwa sh. Million 38.4 kwaajili ya kukarabati viti vilivyoharibiwa na mashabiki waje
Million 500 + Million 100 + Million 38.4 = Million 638.4 hii ndio hasara waliyoiingiza Mashabiki wacgache wapumbavu
Ifike mahali tuache kucheka na hawa wapuuzi vilabu vyetu bado vinajitafuta sio matajiri hizi pesa ni hasara kubwa sana kwa klabu, hiyo million 600 ingefanya mambo mengi sana kwenye timu lakini inapotea kwaajili ya wapumbavu wasiozidi hata 50 waliolipa 3,000View attachment 3203370