Simba wapiga deiwaka Arabuni (picha)

simba kuna tatizo sio siri na sasa si nasikia aunt julio karudi pale,kazi itakua ni hii ya taarab tu

Nasikia ndo maana waliamua kwenda arabuni, walilenga soko la bidhaa zao.
 
Nyie mnafi**%a. Iacheni simba. Nanyie kabaneni pua muone kama hamjavunjiwa mayai.
 
Kambi arabuni bana?Hamna kitu.................
 
Na wale tuliocheza nao taifa na takawapa zawadi ya uturuki daraja la ngapi kule south? Nasikia la k
7
Nijuavyo mimi timu ya taifa ya South Africa inashiriki AFCON. Sasa hawa Black Leopards kuna mambo mawili, either hawana hata mchezaji mmoja katika timu ya taifa au waliokuja Bongo hawapo timu ya taifa, na ndio waliokuja 'kuipima timu ya Uturuki'
 
Karaoke za arabuni ndio zina magitaa na tumba? nlikua sijui/
 
Kanjibai bana badala ya kulipa madeni wanapeleka timu lindi au simiyu ya uturuki. Sisi tupo nairobi ya oman, muscat

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Wachezaji wa simba wakitumbuiza kwa muziki aina ya taarabu kwenye kumbi za burudani huko arabuni ili kujiongezea kipato.

Huyo anayepiga ngoma ni kama Bi Kidude kwenye "Ahmada Amelewa" kweli fani imeingiliwa
 
Wachezaji wa simba wakitumbuiza kwa muziki aina ya taarabu kwenye kumbi za burudani huko arabuni ili kujiongezea kipato.


Haya majungu, Simba wana fedha bwana na ndiyo maana uwezi kusikia wamelala mzungu wa nne kama yanga. Hapo wapo kwenye burudani baada ya kazi.
 
Wagonga kokoto au wachezaji hao,mbona wamekomaa ivo....!!
 
Haya majungu, Simba wana fedha bwana na ndiyo maana uwezi kusikia wamelala mzungu wa nne kama yanga. Hapo wapo kwenye burudani baada ya kazi.

simba wanahela kweli hadi wameamua kula hela ya rambirambi duu, heri ulale mzungu wa nne kuliko kumzurumu maarehemu,. Rip mafisango
 
Kanjibai bana badala ya kulipa madeni wanapeleka timu lindi au simiyu ya uturuki. Sisi tupo nairobi ya oman, muscat

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums

mtanii huoni aibu kumzuruma hadi marehemu huoni kua hiyo ni laana. Rip mafisango
 
Wachezaji wa simba wakitumbuiza kwa muziki aina ya taarabu kwenye kumbi za burudani huko arabuni ili kujiongezea kipato.

Wewe uliyepositi ungekuwa karibu ningekupiga ngumi jiwe! Unaitania timu yangu! Ebo! Tangu lini mwanaume kama simba akakata kiuno kuimba taarabu?
 
Wewe uliyepositi ungekuwa karibu ningekupiga ngumi jiwe! Unaitania timu yangu! Ebo! Tangu lini mwanaume kama simba akakata kiuno kuimba taarabu?
 

Attachments

  • 23375_483971731639713_1348208241_n.jpg
    32.4 KB · Views: 248
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…