in short ni kwamba wamelipwa na GSM ili GSM waweke matangazo yao kwenye jezi za vilabu,TFF ni kikundi la wahuniTFF yetu ya ajabu Sana,
Ilivipiga marufuku clubs kuzungumzia huu mkataba Kwa madai kua hauwahusu wao club, bali TFF wenyewe. Vipi tena wawabebeshe clubs hizo nembo wavae?
Kweli Mkuu tarehe 11 tuvae tisheti zetu za nyumbani .in short ni kwamba wamelipwa na GSM ili GSM waweke matangazo yao kwenye jezi za vilabu,TFF ni kikundi la wahuni
SwadaktaaaMimi naona wanayanga wote ni MAKABWILI.
Huyo ni Kabwili anatafuta bwana kinguvu.We hunaga hoja zaidi ya ushabiki oya oya
basi kwa hoja yako mwenye haki zaid ya kukaa kwenye jezi n azam kwa sababu anatoa mzigo mrefu kuliko hao gsm na nbc kwa pamojaEbu tuangalie kipi cha manufaa gsm anaipa dhamani league yetu Kwa pesa alioitoa,yani vilabu 16 visipate mpunga Kisa simba huu ni ukichaa,pia hata league izi kubwa kuna transformation zilizotangulia mpaka kufika apa ,sasa mtu anafananisha league za nje Na za bongo kama siyo uzwazwa ni nini,Simba vaeni Jersey haraka kama hamtaki nendeni daraja la kwanza Au muanzishe league yenu
Kwani GSM Nini? Unajua GSM ni lidude likubwa. Huwezi kusema Hilo ni Tatizo. Kuna GSM coconut Kuna GSM logistics mbona huko husemi?Sportpesa ni supplier wa jezi gani?
GSm Group ni kampuni kubwa.Simba walitoa tender ya kutengeneza jezi Vunja bei alishinda. Akatia bilioni 2.1 kutengeneza jezi na timu Ili auze kama Biashara.Huoni kuwa ni kumuhalibia Vunja bei Biashara yake. Hii kisheria imekaaje Wakuu Vunja bei atarudishaje hela yake?
siyo supplier wa jezi au siyo supplier ? Hata ingakuwa GSM nini tunachongalia ni supplier wa jezi au siyo?Kwani GSM Nini? Unajua GSM ni lidude likubwa. Huwezi kusema Hilo ni Tatizo. Kuna GSM coconut Kuna GSM logistics mbona huko husemi?
GSM ndiye mwendeshaji wa Utopolo,kuanzia usajili hadi kulipa.mishahara wa wachezaji na bench lote la ufundi, kifupi Yanga ni GSM na GSM ni Yangakwako mleta mada.
Kuna uhusiano gani Kati ya gsm na utopolo?
GSM ndiye mwendeshaji wa Utopolo,kuanzia usajili hadi kulipa.mishahara wa wachezaji na bench lote la ufundi, kifupi Yanga ni GSM na GSM ni Yanga
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Kawaulize wenyeweKwa hyo yanga ni Mali ya GSM?
kwa mkataba upi?
Takukuru kamata hili li karia lila rushwaTamaa ya 10% TAKUKURU karibu TFF