Dabil
JF-Expert Member
- Sep 30, 2021
- 6,823
- 15,293
Vunja Bei ni kit supplier wa jezi za Simba, GSM ni kit supplier wa Yanga. Halafu halafu nembo ya supplier wa Yanga ibandikwe kwenye Simba .
Yaani NIKE wabandikwe nembo ya Adidas na nembo zote mbili ziwe kwenye jezi moja ,kama siyo akili ya matope ni nini?
Msimu uliopita KCB walikuwa mdhamini mwenza wa Voda ,hatujawahi kuona nembo ya KCB kwenye jezi maana kanuni zinamruhusu tu mdhamini mkuu.
GSM wakae kwa kutulia awe mdhamini mwenza na nembo yake hatuvai ,wavunje kanuni wao hata twiga alibadilishwa rangi ingawa kanuni haziruhusu halafu wao leo wanavunja kanuni? TFF ijibu barua ya Simba kwamba nembo ya mdhamini mwenza inavaliwa kwa misingi ili ya Sheria ? Jibu simple tu.
TFF inasaini mkataba na GSM halafu wanatoa tamko mtu yeyote au club isihoji mkataba ,sawa mkataba hamjashirikisha wadau basi na mambo ya nembo yanatuhusu nini?
Yaani NIKE wabandikwe nembo ya Adidas na nembo zote mbili ziwe kwenye jezi moja ,kama siyo akili ya matope ni nini?
Msimu uliopita KCB walikuwa mdhamini mwenza wa Voda ,hatujawahi kuona nembo ya KCB kwenye jezi maana kanuni zinamruhusu tu mdhamini mkuu.
GSM wakae kwa kutulia awe mdhamini mwenza na nembo yake hatuvai ,wavunje kanuni wao hata twiga alibadilishwa rangi ingawa kanuni haziruhusu halafu wao leo wanavunja kanuni? TFF ijibu barua ya Simba kwamba nembo ya mdhamini mwenza inavaliwa kwa misingi ili ya Sheria ? Jibu simple tu.
TFF inasaini mkataba na GSM halafu wanatoa tamko mtu yeyote au club isihoji mkataba ,sawa mkataba hamjashirikisha wadau basi na mambo ya nembo yanatuhusu nini?