Dollars laki Tatu ukajenge uwanjani!!!! [emoji85] [emoji85] [emoji86] [emoji86] [emoji87] [emoji87]Klab ya simba imepokea mzigo wa dola laki tatu kutoka etoil sportive du sahel rasmi sasa kazi kwao uwanja bunju za samata 20% znasubiriwa uwanja huwooo yanga mtabaki na bwawa lenu la samaki source EFm
Unajua dollar laki tatu nishingapi shee wangu au unatikisa masikio mm nazungumzia pitch garama A za awaliDollars laki Tatu ukajenge uwanjani!!!! [emoji85] [emoji85] [emoji86] [emoji86] [emoji87] [emoji87]
Dollar 300,000 ni sawa na Tsh 600m na chenji inabaki.Unajua dollar laki tatu nishingapi shee wangu au unatikisa masikio mm nazungumzia pitch garama A za awali
Hii ni ndoto za mchana aerikali kutoa ruzukutimu zinapewa ruzuku na serikali lakin hakuna la maana wanalofanya
Pitch! Pitch! Pitch!Dollars laki Tatu ukajenge uwanjani!!!! [emoji85] [emoji85] [emoji86] [emoji86] [emoji87] [emoji87]