Simba waporwa wachezaji na singida Black Stars

Labani og

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2020
Posts
19,637
Reaction score
29,473
SINGIDA Black Stars (zamani Ihefu), imeendelea kusuka kikosi cha msimu ujao ikielezwa imepora nyota wawili wa kigeni waliokuwa wakiwindwa na Simba, huku ikimalizana na makipa Metacha Mnata na Beno Kakolanya anayeweza akapelekwa kwa mkopo Namungo.
.
Taarifa zinasema Singida tayari imewasainisha mikataba nyota hao kutoka ASEC Mimosas ya Ivory Coast [emoji1081] beki Anthony Tra Bi Tra na kiungo Serge Pokou, waliohusishwa na Simba. Chanzo cha kuaminika kutoka Singida BS kimenithibitishia, nyota hao kila mmoja amesaini miaka miwili na tayari wamelipwa chao na kupewa ratiba ya kujiunga kambini kujiandaa na msimu mpya.

Daaah makolo wanaonewa Hadi na ihefu

 
Kazi yangu ni uchambuzi wa mpira mkuu
Unachambua umbeya? Unachochambua ni nini hapa..unajua mpira hata wewe au umekalisha mapumbu yako kwa mme wa dada ako unamjazia nzi tu hutaki kwenda kujishuhulisha kutafuta pesa unawaandama simba masaa 24 kwenye mitandao. Angalia saiv madogo ambao hamna direction na mnashinda kwemye mitandao na umbeya mnatafutwa sana na wanaokula nyuma mana si hamna kazi?!
 
Tunawapa madini ya Bure humu for free......inabidi mtushukuru [emoji23][emoji23]
 
Hakuna timu inaitwa Singida Black Stars....una feli wapiiii.... Imeshabadilishwa jina siku nyingi tu inaitwa Fountain Gate...
 
Kazi yangu ni uchambuzi wa mpira mkuu
Bro embu fikiria kwann usije na chanzo cha hiyo habar ...kwann unaligeuza jukwaa kuwa sehemu ya umbea?
Hiv ukiambiwa unatumika utakataa?
Uchambuzi huu peleka Facebook utapata like nyingi bro
 
Wewe nae akili huna real man can't spit this rubbish
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…