Simba,washabiki wake wanakesha mitandaoni kuliko washabiki wa yanga

Simba,washabiki wake wanakesha mitandaoni kuliko washabiki wa yanga

We ni mashabiki wa team gani mbona nawewe unakesha!?
 
Wakati wa utambulisho morrison alisema hawajasoma wanashangaa shangaa sasa mitandaoni waje kufanyaje?
 
Hii ina mana hawana shughuli za kufanya
Ila ndiyo wanaojaza viwanja kwenye mechi za kirafiki, ligi kuu na mashindano ya kimataifa.

Sasa sijui hela za bando za kushinda mitandaoni na viingilio viwanjani wanatoa wapi kama hawana kazi za kufanya.
 
Watu hawajui kusoma waje humu kufanya nini?
Hata gsm mwenyewe anasifiwa ujinga kuwa hana akaunti tweeter, Elon musk mwenyewe ana tweet ije iwe huyu mjasiria Mali mnamwita tajiri wakati anatumia pesa za wizi

Hii tu inatosha kuamin GSM sio mtu mzuri.

Magaid wengi hawapend kuacha alama za kudumu zaidi ya zile watu kuwasimulia tu. Wengine hata picha huwezi kuziona
 
Simba wapo wengi sana mitandaoni kuliko yanga,wakifanya siasa za mpira.
Je hii inasaidia nini?
Umejuaje kuwa Tunakesha sana kama nawe pia Hukeshi kama Sisi? Unaweza kumjua kuwa fulani ni Mchawi kama nawe pia siyo Mchawi?
 
Kwa maana nyingine uto wenzio unamaanisha hamna smartphones, ndivyo Uzi wako unavyojieleza
 
Back
Top Bottom