Duu hapa umeniacha hoi bado akina nchimbi hujawawekama fundi maiko wa GSM ni hatari sana mwakani tena wanarudi kusagulasagula kwa bana congo kikosi kizima kitaondolewa
View attachment 1887579
Huyo Ntibazonkiza keshawaita waswahili sidhani kama atabaki hapo.ma fundi maiko wa GSM ni hatari sana mwakani tena wanarudi kusagulasagula kwa bana congo kikosi kizima kitaondolewa
View attachment 1887579
Na bado Simba anaendelea kununua mechiHaya tena. Nawapongeza Yanga ingawa mambo ya uwanjani bado lkn naona msimu huu wamejitahidi kuwa serious na usajili.
Kinachonishangazaga ni maandalizi yao ya timu.
Hivi Sasa bado nadhani wapo madukani wanaendelea na sagulasagulaa ya wachezaji ligi ikianza lawama zinaanza.
Tufike mahali tukubali maandalizi mazuru na ya wakati huiadaa timu vzr sio mpira maneno Teena.
Licha ya UTOPOLO FC kuanza upya kila msimu, lakini bado hamjaweza kumfunga msimu huu kwenye Ligi.. SI NDIO?Utopolo kila msimu wanaanza upya.
Unaanzaje kuifunga timu inayocheza kung-fu uwanjani badala ya kucheza soka pale unapokutana nayo?Licha ya UTOPOLO FC kuanza upya kila msimu, lakini bado hamjaweza kumfunga msimu huu kwenye Ligi.. SI NDIO?
Hahahahaha shaurin soccer niniUnaanzaje kuifunga timu inayocheza kung-fu uwanjani badala ya kucheza soka pale unapokutana nayo?