Mtanzanias
JF-Expert Member
- Jul 30, 2021
- 1,747
- 3,725
Kila timu inayo mipango yake tofauti na unavyofikilia wewe, sio kila watachofanya simba basi na yanga wafanye,,,Haya tena. Nawapongeza Yanga ingawa mambo ya uwanjani bado lkn naona msimu huu wamejitahidi kuwa serious na usajili.
Kinachonishangazaga ni maandalizi yao ya timu.
Hivi Sasa bado nadhani wapo madukani wanaendelea na sagulasagulaa ya wachezaji ligi ikianza lawama zinaanza.
Tufike mahali tukubali maandalizi mazuru na ya wakati huiadaa timu vzr sio mpira maneno Teena.
Daah full of kung fu ilikuwa...!!Unaanzaje kuifunga timu inayocheza kung-fu uwanjani badala ya kucheza soka pale unapokutana nayo?
lengo letu sio kufunga team, lengo letu ni makombe na tumechukua matatu. Ngao ya jamii, FA, na la Ligi. tuambie wewe uliyetufunga una tofauti gani na Ruvu shooting na prisonLicha ya UTOPOLO FC kuanza upya kila msimu, lakini bado hamjaweza kumfunga msimu huu kwenye Ligi.. SI NDIO?
Sasa kama lengo lenu ni Ubingwa tu inakuwaje kuchelewa kwa Yanga SC kuingia Kambini kumekukwaza?lengo letu sio kufunga team, lengo letu ni makombe na tumechukua matatu. Ngao ya jamii, FA, na la Ligi. tuambie wewe uliyetufunga una tofauti gani na Ruvu shooting na prison
Yanga wabasubiri wachezaji wote wakamilike,wanaondoka trh 15 agostiHaya tena. Nawapongeza Yanga ingawa mambo ya uwanjani bado lkn naona msimu huu wamejitahidi kuwa serious na usajili.
Kinachonishangazaga ni maandalizi yao ya timu.
Hivi Sasa bado nadhani wapo madukani wanaendelea na sagulasagulaa ya wachezaji ligi ikianza lawama zinaanza.
Tufike mahali tukubali maandalizi mazuru na ya wakati huiadaa timu vzr sio mpira maneno Teena.
Hao ndio mikia mkuu cr,wamepanic maana wale waliokua wakiwadhihaki hawana pesa now wanaenda nao sawa,hawa tunaanza nao ngao ya jamii na wenyewe iko kitu wanakijuaSasa kama lengo lenu ni Ubingwa tu inakuwaje kuchelewa kwa Yanga SC kuingia Kambini kumekukwaza?
Una sifa zote za kuwa shabiki wa utopolo. Wachezaji karibu nusu wameachwa halafu una matumaini makubwa kwa timu ambayo hujaiona.Hakika utopolo ni utopolo.Hao ndio mikia mkuu cr,wamepanic maana wale waliokua wakiwadhihaki hawana pesa now wanaenda nao sawa,hawa tunaanza nao ngao ya jamii na wenyewe iko kitu wanakijua
🤣🤣Hao ndio mikia mkuu cr,wamepanic maana wale waliokua wakiwadhihaki hawana pesa now wanaenda nao sawa,hawa tunaanza nao ngao ya jamii na wenyewe iko kitu wanakijua
Kwa sababu ligi ikianza hamuishiwi malalamiko bila kujua tatizo la msingiSasa kama lengo lenu ni Ubingwa tu inakuwaje kuchelewa kwa Yanga SC kuingia Kambini kumekukwaza?
Utakua umekuja mjini wakati stand ya mkoa iko ubungo ndio maana huna unachojua kuhusu kurwa na doto wa k'koo,mikia uwa aifurukuti Yanga inapokua kwenye uchumi imara,hii zengwe la manara mjue mnaanza kupotea,yan iko hivyo kataa ukubaliUna sifa zote za kuwa shabiki wa utopolo. Wachezaji karibu nusu wameachwa halafu una matumaini makubwa kwa timu ambayo hujaiona.Hakika utopolo ni utopolo.
Ni lini utopolo imewahi kuwa na uchumi imara?Utakua umekuja mjini wakati stand ya mkoa iko ubungo ndio maana huna unachojua kuhusu kurwa na doto wa k'koo,mikia uwa aifurukuti Yanga inapokua kwenye uchumi imara,hii zengwe la manara mjue mnaanza kupotea,yan iko hivyo kataa ukubali
Halafu zikivurunda lawama zote kwa TFFTeam yote mpya!! TFF wekeni masharti kuimarisha team na ligi, kuhamisha au kuacha au kubadirisha kwenye usajili mwisho watano. Lasivyo kuna team zitakua kila siku mpya
Huyu hapa kwa raha zakeJamani mzee Mpili bado ajapatikana uko Burundi alikopotelea?
Utaputapu scUto Fc
Kumemkwaza mleta mada sio mimi,Sasa kama lengo lenu ni Ubingwa tu inakuwaje kuchelewa kwa Yanga SC kuingia Kambini kumekukwaza?
Yanga na Prison ni vigumu kufungwa na Simba.Unaanzaje kuifunga timu inayocheza kung-fu uwanjani badala ya kucheza soka pale unapokutana nayo?
Kagame cup Simba wangekuwemo Azam na Yanga wangekaza,yani wenyewe kukaza ni mpaka wakutane na Simba.Yanga na Prison ni vigumu kufungwa na Simba.
Kwa aina ya mpira wao wa mikareti.
Yanga hawaishiwi malalamiko.
Hivi ligi ya Kagame Cup Express fc nao walinunua mechi ?
Yanga na Azam zote zimetolewa.
Hii unaonesha kiwango duni cha hizo timu.
Malalamiko yanapelekwa TFF
Kweli bana, kwa kipimo chao ni mpaka wakutane na Simba hahahahaKagame cup Simba wangekuwemo Azam na Yanga wangekaza,yani wenyewe kukaza ni mpaka wakutane na Simba.
Duniani wawili wawili, copy kabisaHuyu hapa kwa raha zakeView attachment 1888720