ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 15,265
- 29,991
[emoji23][emoji23][emoji23]sasa kisogo kina fundisha mpira? basi mchukueni sokomoko au madengeyule kocha wetu anakung'utwa,kwanza kocha gani hana kisogo,alafu anatembea kama hana kiuno mbwa yule.
huyu kocha huyu,hivi Corona iliendaga wapi?.
Kufanya sub 3 kwa mpigo sio akili ya mchezo mana ndio kama unaanza game upya,mzungu was .chongo1. Matola atoke hapo benchi apewe hata timu ya vijana.
2. Mashabiki walishashauri Simba waache mazoezi ya wazi, mnajifanya modern football ,mwenzako anasoma mbinu yako ya mchezo we humsomi. Yanga wanafungwa na timu za hovyo za kimataifa maana hawaoni mbinu zao lakini kwetu sisi ni draw na kipondo. Mtu haogopi faini anaruka ukuta kila mwaka na kuingia mlango wa nyuma ataogopa kukuloga?.
Sometimes unajiuliza huyu kocha hajalogwa hadi analeta kikosi cha ajabu?
3. Foward Phiri hatoshi ongezeni Manzoki huyo mzungu kabla ya kumfukuza mwekeni kwanza sero siku 3 kwa aibu aliyotutia.
4. Huyo Zohan aangaliwe vizuri mechi ya kwanza ya ligi na Geita Gold draw ikitokea tusionane wabaya.
N:B mnatuvunja moyo mashabiki ,jezi kwanza hamjatuomba msamaha na tunaanzaa msimu bila kikombe na pre season mnafanyia Misri
Unampangaje Mwenda acheze dk zote hata kupiga cross ni shida na umemwacha Kapombe nje? Unamtoa Chama ukidhani umemaliza mchezo unamleta Mzamiru.
Mfungwe tu akili ziwakae sawa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sijui kwann najikuta mda wote nacheka, km sijafungwa vile lol.
Sasa we si ni mwehu flan amazing ndio maana kukenua kenua tu muda wote[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sijui kwann najikuta mda wote nacheka, km sijafungwa vile lol.
Kama unaongea kishabiki sawa Ila Kama ni kiufundi jitathimini.. nikikuuliza tu forward wenu ni yupi? Hauna jibu mnategemea mawinga. Kumbuka msimu uliopita kilichowagarimu ni forward butu Mugalu hakufunga kabisa bocco ndo vile vile goli 3 sijui 2 Sasa hapo unategemea Nini?Yanga bado ni timu mbovu tuu. Sioni kama kuna kitu kikubwa wanacho kuliko simba
Mkuu ki ushabiki tuuKama unaongea kishabiki sawa Ila Kama ni kiufundi jitathimini.. nikikuuliza tu forward wenu ni yupi? Hauna jibu mnategemea mawinga. Kumbuka msimu uliopita kilichowagarimu ni forward butu Mugalu hakufunga kabisa bocco ndo vile vile goli 3 sijui 2 Sasa hapo unategemea Nini?
Nilijua utakuja tuu. Nimeamka salama mtani nimeend misa ya saa kumi na mbili kasoro sio kawaida yangu usingizi uligomaaaBibie umeamka salama hapo nyumbani kwako?
Hahahahahaah haya banaSiyo kuchezea sharubu tu, na meno tumeng'oa kabisa.
Halafu Manara ndo alikua anatufundishq jazba. Siku hz kama tunaanza kuacha fujo..😂😂..tumejifunza ustaarabu.
Sawa mkuuNa mtaendelea kuchezea kichapo mpaka akili ziwakae sawa Kama akili zenu ndo hizi mpaka siku mtakapokubali kuwa kwasasa mnazidiwa ubora na yanga kwa mbali Sana, Mtatubu bila kupenda dadadeki!
Hahahah hatari mkuu🤣🤣🤣🤣🤣 Nyie sii mlikuwa mwajitapa hapa kuwa mpo full nondo
Mkuu peleka pesa ya kumnunua huyo manzoki1. Matola atoke hapo benchi apewe hata timu ya vijana.
2. Mashabiki walishashauri Simba waache mazoezi ya wazi, mnajifanya modern football ,mwenzako anasoma mbinu yako ya mchezo we humsomi. Yanga wanafungwa na timu za hovyo za kimataifa maana hawaoni mbinu zao lakini kwetu sisi ni draw na kipondo. Mtu haogopi faini anaruka ukuta kila mwaka na kuingia mlango wa nyuma ataogopa kukuloga?.
Sometimes unajiuliza huyu kocha hajalogwa hadi analeta kikosi cha ajabu?
3. Foward Phiri hatoshi ongezeni Manzoki huyo mzungu kabla ya kumfukuza mwekeni kwanza sero siku 3 kwa aibu aliyotutia.
4. Huyo Zohan aangaliwe vizuri mechi ya kwanza ya ligi na Geita Gold draw ikitokea tusionane wabaya.
N:B mnatuvunja moyo mashabiki ,jezi kwanza hamjatuomba msamaha na tunaanzaa msimu bila kikombe na pre season mnafanyia Misri
Unampangaje Mwenda acheze dk zote hata kupiga cross ni shida na umemwacha Kapombe nje? Unamtoa Chama ukidhani umemaliza mchezo unamleta Mzamiru.
Mfungwe tu akili ziwakae sawa.
Lakini Yanga ni wakubwa zenu kwa mambo 3: kwanza Simba na Yanga jana ulikuwa mchezo wao wa 110, Yanga kashinda 39, Simba 32, sare 39. Yanga kamfunga Simba magoli 153, Simba kamfunga Yanga magoli 137. Yanga amechukua ubingwa mara 28, Simba mara 22. Kila eneo Yanga kakuzidi, sasa povu la Nini?1. Matola atoke hapo benchi apewe hata timu ya vijana.
2. Mashabiki walishashauri Simba waache mazoezi ya wazi, mnajifanya modern football ,mwenzako anasoma mbinu yako ya mchezo we humsomi. Yanga wanafungwa na timu za hovyo za kimataifa maana hawaoni mbinu zao lakini kwetu sisi ni draw na kipondo. Mtu haogopi faini anaruka ukuta kila mwaka na kuingia mlango wa nyuma ataogopa kukuloga?.
Sometimes unajiuliza huyu kocha hajalogwa hadi analeta kikosi cha ajabu?
3. Foward Phiri hatoshi ongezeni Manzoki huyo mzungu kabla ya kumfukuza mwekeni kwanza sero siku 3 kwa aibu aliyotutia.
4. Huyo Zohan aangaliwe vizuri mechi ya kwanza ya ligi na Geita Gold draw ikitokea tusionane wabaya.
N:B mnatuvunja moyo mashabiki ,jezi kwanza hamjatuomba msamaha na tunaanzaa msimu bila kikombe na pre season mnafanyia Misri
Unampangaje Mwenda acheze dk zote hata kupiga cross ni shida na umemwacha Kapombe nje? Unamtoa Chama ukidhani umemaliza mchezo unamleta Mzamiru.
Mfungwe tu akili ziwakae sawa.
kama unaona man city na man united usingekuwa unaandika na kuuliza huu upuuziLakini Yanga ni wakubwa zenu kwa mambo 3: kwanza Simba na Yanga jana ulikuwa mchezo wao wa 110, Yanga kashinda 39, Simba 32, sare 39. Yanga kamfunga Simba magoli 153, Simba kamfunga Yanga magoli 137. Yanga amechukua ubingwa mara 28, Simba mara 22. Kila eneo Yanga kakuzidi, sasa povu la Nini?
Waliochangia waliopo uwanjani uwezo wao ndio umeishia palewaliokuwa uwanjani ulichangia wewe?
Yana mwisho mkuu naamini kuna somo benchi la ufundi na klabu wamejifunza kitu janaJ
Ana nimelala saa tatu bila kupenda wakati kila siku nalala saa SITA