Simba wasikilize mashabiki bila hivo nendeni uwanjani wenyewe

Simba wasikilize mashabiki bila hivo nendeni uwanjani wenyewe

1. Matola atoke hapo benchi apewe hata timu ya vijana.

2. Mashabiki walishashauri Simba waache mazoezi ya wazi, mnajifanya modern football ,mwenzako anasoma mbinu yako ya mchezo we humsomi. Yanga wanafungwa na timu za hovyo za kimataifa maana hawaoni mbinu zao lakini kwetu sisi ni draw na kipondo. Mtu haogopi faini anaruka ukuta kila mwaka na kuingia mlango wa nyuma ataogopa kukuloga?.
Sometimes unajiuliza huyu kocha hajalogwa hadi analeta kikosi cha ajabu?


3. Foward Phiri hatoshi ongezeni Manzoki huyo mzungu kabla ya kumfukuza mwekeni kwanza sero siku 3 kwa aibu aliyotutia.

4. Huyo Zohan aangaliwe vizuri mechi ya kwanza ya ligi na Geita Gold draw ikitokea tusionane wabaya.

N:B mnatuvunja moyo mashabiki ,jezi kwanza hamjatuomba msamaha na tunaanzaa msimu bila kikombe na pre season mnafanyia Misri

Unampangaje Mwenda acheze dk zote hata kupiga cross ni shida na umemwacha Kapombe nje? Unamtoa Chama ukidhani umemaliza mchezo unamleta Mzamiru.

Mfungwe tu akili ziwakae sawa.
Kufanya sub 3 kwa mpigo sio akili ya mchezo mana ndio kama unaanza game upya,mzungu was .chongo
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sijui kwann najikuta mda wote nacheka, km sijafungwa vile lol.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sijui kwann najikuta mda wote nacheka, km sijafungwa vile lol.
Sasa we si ni mwehu flan amazing ndio maana kukenua kenua tu muda wote
 
Yanga bado ni timu mbovu tuu. Sioni kama kuna kitu kikubwa wanacho kuliko simba
Kama unaongea kishabiki sawa Ila Kama ni kiufundi jitathimini.. nikikuuliza tu forward wenu ni yupi? Hauna jibu mnategemea mawinga. Kumbuka msimu uliopita kilichowagarimu ni forward butu Mugalu hakufunga kabisa bocco ndo vile vile goli 3 sijui 2 Sasa hapo unategemea Nini?
 
Kama unaongea kishabiki sawa Ila Kama ni kiufundi jitathimini.. nikikuuliza tu forward wenu ni yupi? Hauna jibu mnategemea mawinga. Kumbuka msimu uliopita kilichowagarimu ni forward butu Mugalu hakufunga kabisa bocco ndo vile vile goli 3 sijui 2 Sasa hapo unategemea Nini?
Mkuu ki ushabiki tuu
 
Na mtaendelea kuchezea kichapo mpaka akili ziwakae sawa Kama akili zenu ndo hizi mpaka siku mtakapokubali kuwa kwasasa mnazidiwa ubora na yanga kwa mbali Sana, Mtatubu bila kupenda dadadeki!
Sawa mkuu
 
1. Matola atoke hapo benchi apewe hata timu ya vijana.

2. Mashabiki walishashauri Simba waache mazoezi ya wazi, mnajifanya modern football ,mwenzako anasoma mbinu yako ya mchezo we humsomi. Yanga wanafungwa na timu za hovyo za kimataifa maana hawaoni mbinu zao lakini kwetu sisi ni draw na kipondo. Mtu haogopi faini anaruka ukuta kila mwaka na kuingia mlango wa nyuma ataogopa kukuloga?.
Sometimes unajiuliza huyu kocha hajalogwa hadi analeta kikosi cha ajabu?


3. Foward Phiri hatoshi ongezeni Manzoki huyo mzungu kabla ya kumfukuza mwekeni kwanza sero siku 3 kwa aibu aliyotutia.

4. Huyo Zohan aangaliwe vizuri mechi ya kwanza ya ligi na Geita Gold draw ikitokea tusionane wabaya.

N:B mnatuvunja moyo mashabiki ,jezi kwanza hamjatuomba msamaha na tunaanzaa msimu bila kikombe na pre season mnafanyia Misri

Unampangaje Mwenda acheze dk zote hata kupiga cross ni shida na umemwacha Kapombe nje? Unamtoa Chama ukidhani umemaliza mchezo unamleta Mzamiru.

Mfungwe tu akili ziwakae sawa.
Mkuu peleka pesa ya kumnunua huyo manzoki
 
1. Matola atoke hapo benchi apewe hata timu ya vijana.

2. Mashabiki walishashauri Simba waache mazoezi ya wazi, mnajifanya modern football ,mwenzako anasoma mbinu yako ya mchezo we humsomi. Yanga wanafungwa na timu za hovyo za kimataifa maana hawaoni mbinu zao lakini kwetu sisi ni draw na kipondo. Mtu haogopi faini anaruka ukuta kila mwaka na kuingia mlango wa nyuma ataogopa kukuloga?.
Sometimes unajiuliza huyu kocha hajalogwa hadi analeta kikosi cha ajabu?


3. Foward Phiri hatoshi ongezeni Manzoki huyo mzungu kabla ya kumfukuza mwekeni kwanza sero siku 3 kwa aibu aliyotutia.

4. Huyo Zohan aangaliwe vizuri mechi ya kwanza ya ligi na Geita Gold draw ikitokea tusionane wabaya.

N:B mnatuvunja moyo mashabiki ,jezi kwanza hamjatuomba msamaha na tunaanzaa msimu bila kikombe na pre season mnafanyia Misri

Unampangaje Mwenda acheze dk zote hata kupiga cross ni shida na umemwacha Kapombe nje? Unamtoa Chama ukidhani umemaliza mchezo unamleta Mzamiru.

Mfungwe tu akili ziwakae sawa.
Lakini Yanga ni wakubwa zenu kwa mambo 3: kwanza Simba na Yanga jana ulikuwa mchezo wao wa 110, Yanga kashinda 39, Simba 32, sare 39. Yanga kamfunga Simba magoli 153, Simba kamfunga Yanga magoli 137. Yanga amechukua ubingwa mara 28, Simba mara 22. Kila eneo Yanga kakuzidi, sasa povu la Nini?
 
Lakini Yanga ni wakubwa zenu kwa mambo 3: kwanza Simba na Yanga jana ulikuwa mchezo wao wa 110, Yanga kashinda 39, Simba 32, sare 39. Yanga kamfunga Simba magoli 153, Simba kamfunga Yanga magoli 137. Yanga amechukua ubingwa mara 28, Simba mara 22. Kila eneo Yanga kakuzidi, sasa povu la Nini?
kama unaona man city na man united usingekuwa unaandika na kuuliza huu upuuzi
 
Mpira n kitu cha ajabu Sana[emoji16][emoji16]
Wakati Simba inaongoza Kwa bao 1 ilisifiwa ghafla upepo umebadilika baada ya kufungwa,Anyway tumewaachia wajuaji WA mpira waendelee kujudge.Sie yetu [emoji102][emoji851]
 
Naweka kumbukumbu sawa.
 
Back
Top Bottom