Simba Wasipojitathimini Kuna Uwezekano Yanga Akachukua Ubingwa Mara Saba Mfululizo Kama Juventus

Simba Wasipojitathimini Kuna Uwezekano Yanga Akachukua Ubingwa Mara Saba Mfululizo Kama Juventus

magnifico

JF-Expert Member
Joined
Jan 14, 2013
Posts
11,075
Reaction score
24,634
Ndugu zetu Simba msimu huu wamekuja na kauli mbiu hizi, Yanga anabebwa, Yanga ananunua mechi, GSM anatuharibia ligi na kuna muda wakipagawa zaidi utawasikia wanasema Yanga imeshuka kiwango.

Maoni yangu, mafanikio ya Yanga yanaanzia kwenye uongozi. Sitaki kumuingiza GSM japo nae anaplay part kubwa tu. Lakini GSM ni nani mbele ya tajiri mkubwa Afrika Mo Dewji?

Simba na Yanga wote wana pesa kipindi hiki lakini mmoja ukimuangalia anazidi kusogea mbele kwa kasi huku mwingine akiwa na mwendo wa kusuasua. Hii maana yake kuna shida kwenye uongozi, kuna shida kwenye timu ya usajili.

Angalia replacements za wachezaji zinavyofanyika pale Yanga. Angalia wanavyopigania mabadiliko ya mfumo wa uendeshaji wa timu. Je, mnaona dalili za hawa watu kupoteana kwa siku za karibuni hizi.

Ubaya wa kuhonga ili ushinde mechi lazima uumbuke ukienda kimataifa lakini kwa Yanga hali ni tofauti. Angalia matokeo yake kwenye michuano ya CAF.

Hizi kauli mbiu mlizokuja nazo msimu huu zitakuja kuwahukumu ninyi wenyewe.

Asili ya Mtanzania ni kufanya kazi vizuri na kwa ufanisi akiwa kwenye pressure. Bahati nzuri nyie wenzetu pressure mmeielekeza kwa Marefa, TFF na GSM huku mkiachana na uongozi wenu.

Mmeshawahi kujiuliza kwenye kikosi chenu cha Mabilioni nani anapenya kwenye first eleven ya Yanga? Kama ukiulizwa kati ya Ateba na Mzize nani aanze unapata kigugumizi vipi kwa hao wengine?

Kama mtaendelea kuwanyoshea vidole wengine mkaacha kujitathimini madhaifu yenu hapatakuwa na wakuizuia Yanga yenye uongozi imara.

Mo Dewji aweke mtu wa kulinda uwekezaji wake pale Simba kama alivyofanya kipindi kile cha Babra na kama anavyofanya GSM kipindi hiki. Inawezekana pesa anatoa kweli ila upigaji ni mwingi.
 
Ndugu zetu Simba msimu huu wamekuja na kauli mbiu hizi, Yanga anabebwa, Yanga ananunua mechi, GSM anatuharibia ligi na kuna muda wakipagawa zaidi utawasikia wanasema Yanga imeshuka kiwango.

Maoni yangu, mafanikio ya Yanga yanaanzia kwenye uongozi. Sitaki kumuingiza GSM japo nae anaplay part kubwa tu. Lakini GSM ni nani mbele ya tajiri mkubwa Afrika Mo Dewji?

Simba na Yanga wote wana pesa kipindi hiki lakini mmoja ukimuangalia anazidi kusogea mbele kwa kasi huku mwingine akiwa na mwendo wa kusuasua. Hii maana yake kuna shida kwenye uongozi, kuna shida kwenye timu ya usajili.

Angalia replacements za wachezaji zinavyofanyika pale Yanga. Angalia wanavyopigania mabadiliko ya mfumo wa uendeshaji wa tumu. Je, mnaona dalili za hawa watu kupoteana kwa siku za karibuni hizi.

Ubaya wa kuhonga ili ushinde mechi lazima uumbuke ukienda kimataifa lakini kwa Yanga hali ni tofauti. Angalia matokeo yake kwenye michuano ya CAF.

Hizi kauli mbiu mlizokuja nazo msimu huu zitakuja kuwahukumu ninyi wenyewe. Asili ya Mtanzania ni kufanya kazi vizuri na kwa ufanisi akiwa kwenye pressure. Bahati nzuri nyie wenzetu pressure mmeielekeza kwa Marefa, TFF na GSM huku mkiachana na uongozi wenu.

Mmeshawahi kujiuliza kwenye kikosi chenu cha Mabilioni nani anapenya kwenye first eleven ya Yanga? Kama ukiulizwa kati ya Ateba na Mzize nani aanze unapata kigugumizi vipi kwa hao wengine?

Kama mtaendelea kuwanyoshea vidole wengine mkaacha kujitathimini madhaifu yenu hapatakuwa na wakuizuia Yanga yenye uongozi imara.

Mo Dewji aweke mtu wa kulinda uwekezaji wake pale Simba kama alivyofanya kipindi kile cha Babra na kama anavyofanya GSM kipindi hiki. Inawezekana pesa anatoa kweli ila upigaji ni mwingi.
Tatizo la simba ni wanachama kama wapo, inawezekana wote ni mashabiki tu
 
Simba hawajui mchawi wao kama ni viongozi
Me Huwa Huwa nashangaa
Yaani wachezaji wote waliojaa Africa
Ndo wakawadain Ateba, mkwala, nouma, okajefa, Camara, SGR yule anakimbiza kama hana kichwa
Then utegemee ubingwa
 
Maoni yangu, mafanikio ya Yanga yanaanzia kwenye uongozi. Sitaki kumuingiza GSM japo nae anaplay part kubwa tu. Lakini GSM ni nani mbele ya tajiri mkubwa Afrika Mo Dewji?
Nimeishia kusoma kwenye paragraph hii, maana hapa ndio ujumbe mzito ulipo. Mengine nime assume utakua umeandika sawa sawa kabisa.

Kuna time inafika, pesa huwa haitatui matatizo yote kama wenye dhamana juu ya hizo pesa wanakosa qualities flan flan
 
Wakili Msomi na Rais wa Tangayika Law Society Bobiface Mwabukusi alisema Watanzania siku hizi wanajali mpira kuliko ustawi wa taifa lao.
Goli la mama kwao ni bora kuliko kununua dawa mahospitali, huku wakubwa wanajichotea hazina watakavyo.
Na siku hizi wamewaletea betting, tatu mzuka,mchongo pesa na kamari za kila aina kwenye tv na maredio hata Tbccm na madubwi ya Wachina yaliyo tapakaa nchi nzima.
Tumelogwa labda maji ya ubavu wa Yesu toka kwa Nabii Suguye yake yatuokoe.
 
Wakili Msomi na Rais wa Tangayika Law Society Bobiface Mwabukusi alisema Watanzania siku hizi wanajali mpira kuliko ustawi wa taifa lao.
Goli la mama kwao ni bora kuliko kununua dawa mahospitali, huku wakubwa wanajichotea hazina watakavyo.
Na siku hizi wamewaletea betting, tatu mzuka,mchongo pesa na kamari za kila aina kwenye tv na maredio hata Tbccm na madubwi ya Wachina yaliyo tapakaa nchi nzima.
Tumelogwa labda maji ya ubavu wa Yesu toka kwa Nabii Suguye yake yatuokoe.
Sijaelewa mkuu. Kwenye jukwaa la siasa tuongelee siasa na kwenye jukwaa la michezo tuongelee siasa? Mbona kazi sasa.
 
Wakili Msomi na Rais wa Tangayika Law Society Bobiface Mwabukusi alisema Watanzania siku hizi wanajali mpira kuliko ustawi wa taifa lao.
Goli la mama kwao ni bora kuliko kununua dawa mahospitali, huku wakubwa wanajichotea hazina watakavyo.
Na siku hizi wamewaletea betting, tatu mzuka,mchongo pesa na kamari za kila aina kwenye tv na maredio hata Tbccm na madubwi ya Wachina yaliyo tapakaa nchi nzima.
Tumelogwa labda maji ya ubavu wa Yesu toka kwa Nabii Suguye yake yatuokoe.
Huyo Nabii wako tapeli Suguye atakuwa amekuvuruga akili bila shaka. Maisha huwa hayaendi kama hivi unavyotaka wewe.
 
d8264b28eeff499ca6b2cfb6992017a1.jpg
 
Ndugu zetu Simba msimu huu wamekuja na kauli mbiu hizi, Yanga anabebwa, Yanga ananunua mechi, GSM anatuharibia ligi na kuna muda wakipagawa zaidi utawasikia wanasema Yanga imeshuka kiwango.

Maoni yangu, mafanikio ya Yanga yanaanzia kwenye uongozi. Sitaki kumuingiza GSM japo nae anaplay part kubwa tu. Lakini GSM ni nani mbele ya tajiri mkubwa Afrika Mo Dewji?

Simba na Yanga wote wana pesa kipindi hiki lakini mmoja ukimuangalia anazidi kusogea mbele kwa kasi huku mwingine akiwa na mwendo wa kusuasua. Hii maana yake kuna shida kwenye uongozi, kuna shida kwenye timu ya usajili.

Angalia replacements za wachezaji zinavyofanyika pale Yanga. Angalia wanavyopigania mabadiliko ya mfumo wa uendeshaji wa tumu. Je, mnaona dalili za hawa watu kupoteana kwa siku za karibuni hizi.

Ubaya wa kuhonga ili ushinde mechi lazima uumbuke ukienda kimataifa lakini kwa Yanga hali ni tofauti. Angalia matokeo yake kwenye michuano ya CAF.

Hizi kauli mbiu mlizokuja nazo msimu huu zitakuja kuwahukumu ninyi wenyewe. Asili ya Mtanzania ni kufanya kazi vizuri na kwa ufanisi akiwa kwenye pressure. Bahati nzuri nyie wenzetu pressure mmeielekeza kwa Marefa, TFF na GSM huku mkiachana na uongozi wenu.

Mmeshawahi kujiuliza kwenye kikosi chenu cha Mabilioni nani anapenya kwenye first eleven ya Yanga? Kama ukiulizwa kati ya Ateba na Mzize nani aanze unapata kigugumizi vipi kwa hao wengine?

Kama mtaendelea kuwanyoshea vidole wengine mkaacha kujitathimini madhaifu yenu hapatakuwa na wakuizuia Yanga yenye uongozi imara.

Mo Dewji aweke mtu wa kulinda uwekezaji wake pale Simba kama alivyofanya kipindi kile cha Babra na kama anavyofanya GSM kipindi hiki. Inawezekana pesa anatoa kweli ila upigaji ni mwingi.
Waige Wafe.
 
Ndugu zetu Simba msimu huu wamekuja na kauli mbiu hizi, Yanga anabebwa, Yanga ananunua mechi, GSM anatuharibia ligi na kuna muda wakipagawa zaidi utawasikia wanasema Yanga imeshuka kiwango.

Maoni yangu, mafanikio ya Yanga yanaanzia kwenye uongozi. Sitaki kumuingiza GSM japo nae anaplay part kubwa tu. Lakini GSM ni nani mbele ya tajiri mkubwa Afrika Mo Dewji?

Simba na Yanga wote wana pesa kipindi hiki lakini mmoja ukimuangalia anazidi kusogea mbele kwa kasi huku mwingine akiwa na mwendo wa kusuasua. Hii maana yake kuna shida kwenye uongozi, kuna shida kwenye timu ya usajili.

Angalia replacements za wachezaji zinavyofanyika pale Yanga. Angalia wanavyopigania mabadiliko ya mfumo wa uendeshaji wa tumu. Je, mnaona dalili za hawa watu kupoteana kwa siku za karibuni hizi.

Ubaya wa kuhonga ili ushinde mechi lazima uumbuke ukienda kimataifa lakini kwa Yanga hali ni tofauti. Angalia matokeo yake kwenye michuano ya CAF.

Hizi kauli mbiu mlizokuja nazo msimu huu zitakuja kuwahukumu ninyi wenyewe. Asili ya Mtanzania ni kufanya kazi vizuri na kwa ufanisi akiwa kwenye pressure. Bahati nzuri nyie wenzetu pressure mmeielekeza kwa Marefa, TFF na GSM huku mkiachana na uongozi wenu.

Mmeshawahi kujiuliza kwenye kikosi chenu cha Mabilioni nani anapenya kwenye first eleven ya Yanga? Kama ukiulizwa kati ya Ateba na Mzize nani aanze unapata kigugumizi vipi kwa hao wengine?

Kama mtaendelea kuwanyoshea vidole wengine mkaacha kujitathimini madhaifu yenu hapatakuwa na wakuizuia Yanga yenye uongozi imara.

Mo Dewji aweke mtu wa kulinda uwekezaji wake pale Simba kama alivyofanya kipindi kile cha Babra na kama anavyofanya GSM kipindi hiki. Inawezekana pesa anatoa kweli ila upigaji ni mwingi.
Anaesuasua nani mkuu? Maana hata hiyo simba inayoaminika ilikuwa bora bado ilifungwa na yanga, hawa wote level moja tu ndiomaana cafcl wanaishia robo wote.
 
Wakili Msomi na Rais wa Tangayika Law Society Bobiface Mwabukusi alisema Watanzania siku hizi wanajali mpira kuliko ustawi wa taifa lao.
Goli la mama kwao ni bora kuliko kununua dawa mahospitali, huku wakubwa wanajichotea hazina watakavyo.
Na siku hizi wamewaletea betting, tatu mzuka,mchongo pesa na kamari za kila aina kwenye tv na maredio hata Tbccm na madubwi ya Wachina yaliyo tapakaa nchi nzima.
Tumelogwa labda maji ya ubavu wa Yesu toka kwa Nabii Suguye yake yatuokoe.
Wewe pambana na Siasa, acha tuendelee na mipira yetu. Kila mtu kuna sehemu anapatia furaha.
 
Kwani nyinyi uto mliwahi kukiri ubora wa simba misimu ya nyuma ?Mlimlaumu sana Karia na mlikuwa mnasema simba inapuliza dawa vyumbani kwa mechi za kimataifa. Kwa hiyo ni kawaida kwa mashabiki kulalamika na mambo yatajiset tu na Simba bora itarudi.
 
Back
Top Bottom