Hawana uwezo wa kuja huku kwa wakubwaMbona simple tu. Si tumekimbia mapinduzi na niny mmekimbia caf kama mntaka kushindana na sisi tukutnae caf competition huku tukiangaliwa na warabu.
Norwich ikimfunga Liverpool hatuwezi kusema Norwich ni bora ,utopolo bado ni timu ya mchangani
Na tuko wapi mpaka sahv..? Na utopwinyo wako wapi muda huu..?Huko mnakotaka mmekuwa vibonde siku hizi! Vitimu kama Galaxy na Red Allows vinawavimbia kiasi kile! Tatizo Mikia wanalazimisha ukubwa ambao hawana!
yaani walivyopania mechi utadhani ligi nzima kuna mechi mojaKaBSa timu ya ndondo cup. Mkamio fc
Uzuri wanapiga kelele tu ila jumamosi wanavuliwa nguo yaani watapoteana hapa jamvini itakua wanasoma threads km gestsyaani walivyopania mechi utadhani ligi nzima kuna mechi moja
Kumbe unatujua kwamba sisi ni magwiji ila ni jeuri zako tu kutaka kujifananisha na sisiHuko mnakotaka mmekuwa vibonde siku hizi! Vitimu kama Galaxy na Red Allows vinawavimbia kiasi kile! Tatizo Mikia wanalazimisha ukubwa ambao hawana!
afadhali sisi tupo makundi ,je Nye mliogongwa nje ndani hatua za awali,mmetutia aibu sanaMkitolewa Confederation mtasema siyo malengo yenu.
naona watakuja kumsingizia refaUzuri wanapiga kelele tu ila jumamosi wanavuliwa nguo yaani watapoteana hapa jamvini itakua wanasoma threads km gests
Kabisaa yanWangekuwa na uwezo hata tar 11 wangesusa lakini imeshindikana
Hii sasa mipasho home boy,sema vipi sisi tuna kikosi kipana na wala si madai kama unavyosema.Simba ni simba babu hakuna siku utamkuta kawa panya.Woga wako ndiyo umasikini wako.Wimbo wa Rose muhando,Simba kageuka kawa Panya kwa Paka,sababu zao hazina mashiko si wanadai Wana kikosi kipana leta timu ule kipigo Cha mbwa mwizi kudadeki.Lazima Nyama pori itafunwe na kunywewa supu
KMKM kambana UTO juzi kati kwenye game ya kirafiki naona wanataka watumie Mapinduzi cup kurejesha heshima yaoUende ukacheze na KMKM na wewe ujione una mechi za kujiandaa na mashindano makubwa,huwezi kuwa serious
Nyie wakina yahee si mlisema Simba haina mashabiki Zanzibar Mnalia lia Nini sasaSi una kikosi kipana,acha woga leta timu wewe.
[emoji3][emoji3][emoji23][emoji23][emoji23]dahHuu ni muda wa kuiachia Yanga walau ishine kwenye haya mashindano ya Kombe la Mbuzi.
Simba na Yanga ni timu za serikali, huyo demu wenu wa kidosi hajui lolote.Ningewashangaa sana kama simba wangeshiriki hiyo michuano baada ya kauli ya kifedhuri ya waziri wa zanzibar. Hayo mashindano hayana umuhimu zaidi ya kuingizia pesa waandaji na kutuumizia wachezaji wetu.
Sasa unaumia nini kama Simba hawashiriki mapinduzi,mbona kuna kipindi yanga pia hawakushiriki. Mapinduzi cup siyo lazima mkuu na wala haitabuliwi CAF na FIFASimba na Yanga ni timu za serikali, huyo demu wenu wa kidosi hajui lolote.
Jengo la makao makuu ya Simba na makao makuu ya Yanga amejenga Sheikh Karume.
Hao wapumbavu wanaowajaza ujinga hawajui wamiliki halali wa hizi timu mbili ni nani.
Kuna kamama kamoja ka zenji kaliikashifu Simba kuwa haina shabiki hata mmoja na ni waziri wa michezo wa zenji unategemea kwa hali hiyo Simba inaweza kupeleka team MapinduziSimba na Yanga ni timu za serikali, huyo demu wenu wa kidosi hajui lolote.
Jengo la makao makuu ya Simba na makao makuu ya Yanga amejenga Sheikh Karume.
Hao wapumbavu wanaowajaza ujinga hawajui wamiliki halali wa hizi timu mbili ni nani.