Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
heri Simba wapunzike waachane tu na mlolongo mwingi wa mambo yasiyo na maana ,kwasababu wamepaniwa sana na fitna kibao,heri watulie tu kwenye ligi ,FA na kimataifaKuna kamama kamoja ka zenji kaliikashifu Simba kuwa haina shabiki hata mmoja na ni waziri wa michezo wa zenji unategemea kwa hali hiyo Simba inaweza kupeleka team Mapinduzi
Wamiliki wa timu wanaitaka timu yao kwenye mapinduzi Cup na itashiriki, hapo ndio utajuwa kuwa hujui.Sasa unaumia nini kama Simba hawashiriki mapinduzi,mbona kuna kipindi yanga pia hawakushiriki. Mapinduzi cup siyo lazima mkuu na wala haitabuliwi CAF na FIFA
Hivi lini utastuka kutoka kwny iyo ndoto mkuuWamiliki wa timu wanaitaka timu yao kwenye mapinduzi Cup na itashiriki, hapo ndio utajuwa kuwa hujui.
Hawa GSM na Metl wamewekwa tu kwenye hizo timu mbili kusherehesha tu.
GSM wamekubaliana na ukweli ila Mo ndio haelewi kwamba hawezi kuimiliki Simba na mchakato wa mabadiriko hautakaa ufike mwisho.
Ukinisoma huku ukiwa na akili timamu ni faida kwako, ila ukiamuwa kuendelea kujijaza ujinga endelea.
Hakuna mwenye uwezo wa kuiondowa Simba isishiriki kombe la mapinduzi, wenye timu yao huwezi kuwapangia hata kama mmeachiwa timu muiendeshe.
Timu ya watu binafsi waarabu ilikuwa Sunderland, wakatimuliwa wote ndio timu ikapewa jina la Kawawa Simba wa Vita na Karume akatowa pesa za kujenga makao makuu Msimbazi na Yanga akawajengea Jangwani.
Mmiliki wa Simba na Yanga ni mmoja.
Timu lazima ipelekwe, hiyo timu ni mali ya serikali, kama huna akili timamu ni ngumu kuamini ninachokwambia.Kuna kamama kamoja ka zenji kaliikashifu Simba kuwa haina shabiki hata mmoja na ni waziri wa michezo wa zenji unategemea kwa hali hiyo Simba inaweza kupeleka team Mapinduzi
Timu itashiriki mapinduzi Cup ndio utajuwa kuwa hujui, hifadhi comment yangu for future reference.Hivi lini utastuka kutoka kwny iyo ndoto mkuu
Utopolo mtupu!!!Wamiliki wa timu wanaitaka timu yao kwenye mapinduzi Cup na itashiriki, hapo ndio utajuwa kuwa hujui.
Hawa GSM na Metl wamewekwa tu kwenye hizo timu mbili kusherehesha tu.
GSM wamekubaliana na ukweli ila Mo ndio haelewi kwamba hawezi kuimiliki Simba na mchakato wa mabadiriko hautakaa ufike mwisho.
Ukinisoma huku ukiwa na akili timamu ni faida kwako, ila ukiamuwa kuendelea kujijaza ujinga endelea.
Hakuna mwenye uwezo wa kuiondowa Simba isishiriki kombe la mapinduzi, wenye timu yao huwezi kuwapangia hata kama mmeachiwa timu muiendeshe.
Timu ya watu binafsi waarabu ilikuwa Sunderland, wakatimuliwa wote ndio timu ikapewa jina la Kawawa Simba wa Vita na Karume akatowa pesa za kujenga makao makuu Msimbazi na Yanga akawajengea Jangwani.
Mmiliki wa Simba na Yanga ni mmoja.
Kabsa. Hawakosi sababu. Yanashangikia kabla ya matokeonaona watakuja kumsingizia refa
Nani huyo acha kujifarijiWamiliki wa timu wanaitaka timu yao kwenye mapinduzi Cup na itashiriki, hapo ndio utajuwa kuwa hujui.
Hawa GSM na Metl wamewekwa tu kwenye hizo timu mbili kusherehesha tu.
GSM wamekubaliana na ukweli ila Mo ndio haelewi kwamba hawezi kuimiliki Simba na mchakato wa mabadiriko hautakaa ufike mwisho.
Ukinisoma huku ukiwa na akili timamu ni faida kwako, ila ukiamuwa kuendelea kujijaza ujinga endelea.
Hakuna mwenye uwezo wa kuiondowa Simba isishiriki kombe la mapinduzi, wenye timu yao huwezi kuwapangia hata kama mmeachiwa timu muiendeshe.
Timu ya watu binafsi waarabu ilikuwa Sunderland, wakatimuliwa wote ndio timu ikapewa jina la Kawawa Simba wa Vita na Karume akatowa pesa za kujenga makao makuu Msimbazi na Yanga akawajengea Jangwani.
Mmiliki wa Simba na Yanga ni mmoja.
Tuambie hao wamiliki.?Wamiliki wa timu wanaitaka timu yao kwenye mapinduzi Cup na itashiriki, hapo ndio utajuwa kuwa hujui.
Hawa GSM na Metl wamewekwa tu kwenye hizo timu mbili kusherehesha tu.
GSM wamekubaliana na ukweli ila Mo ndio haelewi kwamba hawezi kuimiliki Simba na mchakato wa mabadiriko hautakaa ufike mwisho.
Ukinisoma huku ukiwa na akili timamu ni faida kwako, ila ukiamuwa kuendelea kujijaza ujinga endelea.
Hakuna mwenye uwezo wa kuiondowa Simba isishiriki kombe la mapinduzi, wenye timu yao huwezi kuwapangia hata kama mmeachiwa timu muiendeshe.
Timu ya watu binafsi waarabu ilikuwa Sunderland, wakatimuliwa wote ndio timu ikapewa jina la Kawawa Simba wa Vita na Karume akatowa pesa za kujenga makao makuu Msimbazi na Yanga akawajengea Jangwani.
Mmiliki wa Simba na Yanga ni mmoja.
Hahahahhahahahah mchakato ulisha kamilika upo dunia ipi..? Zile 20B zako...? Zile 49 hisa kapewa nani.?Timu lazima ipelekwe, hiyo timu ni mali ya serikali, kama huna akili timamu ni ngumu kuamini ninachokwambia.
Mo Dewji ana makampuni zaidi ya 100 kinamshinda nini kukamilisha mchakato wa mabadiriko Simba?
Mnachezeshwa ngoma msiyoijuwa tena mnaachwa msumbuane na FCC tu.
Jiulize wahindi kwa kutowa rushwa wanashindwa vipi kuwahonga FCC?
Wamiliki wa timu wanaitaka timu yao kwenye mapinduzi Cup na itashiriki, hapo ndio utajuwa kuwa hujui.
Hawa GSM na Metl wamewekwa tu kwenye hizo timu mbili kusherehesha tu.
GSM wamekubaliana na ukweli ila Mo ndio haelewi kwamba hawezi kuimiliki Simba na mchakato wa mabadiriko hautakaa ufike mwisho.
Ukinisoma huku ukiwa na akili timamu ni faida kwako, ila ukiamuwa kuendelea kujijaza ujinga endelea.
Hakuna mwenye uwezo wa kuiondowa Simba isishiriki kombe la mapinduzi, wenye timu yao huwezi kuwapangia hata kama mmeachiwa timu muiendeshe.
Timu ya watu binafsi waarabu ilikuwa Sunderland, wakatimuliwa wote ndio timu ikapewa jina la Kawawa Simba wa Vita na Karume akatowa pesa za kujenga makao makuu Msimbazi na Yanga akawajengea Jangwani.
Mmiliki wa Simba na Yanga ni mmoja.
We mwenye akili timamu hiyo serikali mbona hatuoni ikizisaidia zinapokuwa na ukameTimu lazima ipelekwe, hiyo timu ni mali ya serikali, kama huna akili timamu ni ngumu kuamini ninachokwambia.
Mo Dewji ana makampuni zaidi ya 100 kinamshinda nini kukamilisha mchakato wa mabadiriko Simba?
Mnachezeshwa ngoma msiyoijuwa tena mnaachwa msumbuane na FCC tu.
Jiulize wahindi kwa kutowa rushwa wanashindwa vipi kuwahonga FCC?
Mkuu unajua kua mdhamini wa klabu yenye mchakato wa kua kampuni haruhusiwi kua mwenyekiti wa hiyo kampuni kwa mujibu wa sheria?Kupaparika kwa maharage jikoni ndio kuiva kwake,ni suala LA muda tu ila Simba kwa sasa hana chake meza ilishapinduliwa kitambo .
Kitendo cha Mo kujitoa uenyekiti wa bodi ya wakurugenzi alishanusa harufu inayohatarisha uwepo wake.
GSM kwa sasa hashikiki milango ya kusonga mbele imeshafunguka hakuna cha kumzuia tena kwenda anakotaka kwenda.
Jumamosi hawa mbwa wenye mawazo kama mwenzao huyu wajiandae kisaikolojia maana tayari mna matokeo mfukoniGSM soon anaenda kwenye udhamini Shirikisho la soka Afrika kwa Taarifa tu wako kwenye majadiliano jiandaeni kukimbia na huko.Kikosi kipana kwa nadharia hovyo kabisa nyie mtamkimbia Yanga mpaka lini .Hahahahaaaaa Simba kawa paka hatari
Labda yanga ni timu ya serikali ila simba ni ya wanachama pamoja na mwekezaji ulipaswa kukaa kimya kuficha upumbavu wakoSimba na Yanga ni timu za serikali, huyo demu wenu wa kidosi hajui lolote.
Jengo la makao makuu ya Simba na makao makuu ya Yanga amejenga Sheikh Karume.
Hao wapumbavu wanaowajaza ujinga hawajui wamiliki halali wa hizi timu mbili ni nani.
Shbirini "mabingwa" wawapambanie nafasi za kimataifa mpate "mbeleko" tena.Woga huoo Hahahahaaaaa,Simba kageuka kawa Panya kwa Paka
Nendeni nyie nyani wa pori la Utopolo kushindania lile birika la kuvutia shishaHapy Birthday Tanganyika.
Simba Mmejitoa kushiriki Mashindano ya Mapinduzi Kisa maandalizi ya Caf Champion League
Sasa Kimbieni Tu, bdo kuwa Co Sponsor wa Caf na Pia Kuwa Co. Sponsor Wa Kombe La Azam Cup Federation.
Sasa Sjui mtasema mmetingwa na Nini [emoji23][emoji23]
Unasuusa Suuuusaaaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 2037869
Wacheze wachukue makombe ya kidwanziChezeni nyie
Na wakishiriki tuwafanyeje?Hapy Birthday Tanganyika.
Simba Mmejitoa kushiriki Mashindano ya Mapinduzi Kisa maandalizi ya Caf Champion League
Sasa Kimbieni Tu, bdo kuwa Co Sponsor wa Caf na Pia Kuwa Co. Sponsor Wa Kombe La Azam Cup Federation.
Sasa Sjui mtasema mmetingwa na Nini [emoji23][emoji23]
Unasuusa Suuuusaaaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 2037869