Simba wasusia kushiriki Mapinduzi Cup

Kama wananyanyasika si waende kwa GSM? [emoji23][emoji23]
 
Hahahahhahahahah mchakato ulisha kamilika upo dunia ipi..? Zile 20B zako...? Zile 49 hisa kapewa nani.?
Umekamilika lini huo mchakato? Acha uongo wewe,wapi Mo kakabidhiwa certificate ya uwekezaji wa hizo hisa Simba,ni ngumu kwa huyo Tapeli kupewa timu kirahisi lazima taratibu na michakato yote ya kiuwekezaji ikamilike na Taarifa rasmi itatolewa kwenye magazeti na mtandao wa klabu.
 
Kwani ni lazima, Simba yupo busy kimataifa cha ajabu kuna watu wanataka tufanane nao.
 
kwani wewe unatakaje. Sasa sisi kutoshiriki nyie inawahusu nini.

Ni uamuzi wa klabu, na hauhojiwi.
 
Inakuhusu nini wee binti. Yaani mabinti wengine sijui mkoje. Kazi kuhangaika na ya nyumbani kwa watu.

Ulitaka aje akabidhi sebuleni kwa mama mkwe wako.

Ila sishangai, Simba Ni timu kubwa ndiyo maana post zote humu ni mjadala kuhusu simba.
 
Uzuri ni kwamba simba kama timu hatupangiwi cha kufanya tunaamua wenyewe
 
Kipindi cha mafanikio yao simba walizionea sana timu nyingine nje ya uwanja ndiyo maana leo kila kuficha wanalia kuhujumiwa.wanahujumiwa na nani?
Mtu umeambiwa VVIP usiende na watoto wewe kwa kujiona mweupe na uliyebora sana unaenda na watoto??? Afu unakataliwa na anatokea mzaramo mmoja bila kuchuja maneno anasema simba co amezuiwa kuingia uwanjani?
Hii ni sawa na kwenda msikitini na kimini KISA wewe mwarabu.
Hapana hapana hapana
 
Jengeni uwanja watu wanufaike na hiyo michango.
 
Simba kutokushiriki mainduzi sio kosa la Jinai.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…