MFALME WA NYIKA ITAKUWA ANAWAZIBUA VIZURI SANA, KUTWA KUCHA KUMTAJA TAJA MNYAMA.
ANAKUKOSHENI SANA.
BWANA WENU SIMBA ANAWANYOOSHA VIZURI MNO.
Kwani nyie ndo wa kwanza kupata makombe mara mbili mfululizo? Kumbuka hapo nyuma mlikua mnapenga tu kamasi miaka 4 mfululizo...hakuna jipya..[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kwa lipi mangi wakati hata kombe la uwizi hamna
[emoji23][emoji23]Kwa aina ya wapinzani wa Yanga kwenye ligi kuu, sitoshangaa kumuona akichukua makombe yote muhimu kwa miaka 10 mfululizo.
Makolo wapo wapo tu kama Manyumbu, yanapelekwa pelekekwaKwa aina ya wapinzani wa Yanga kwenye ligi kuu, sitoshangaa kumuona akichukua makombe yote muhimu kwa miaka 10 mfululizo.
Umeandika mambo mengi utadhani ligi inaanza keshoMmesikia ya Okwa, vipi mpaka sasa wamesajili mchezaji gani zaidi ya tetesi, wamekuja na kitambulisho cha Gsm.
Hawa watu hawapo serious kabisa rahisi sana kuwaongoza kwenye magrupu yao zimejaa habari za Yanga bila habari za Yanga grupu zipo kimya sana
Leo okwa anasema kocha alikua anapangiwa kikosi lengo ni moja kila kiongozi ana mchezaji wake pale auzike akunje mtonyo kiongozi aliyemleta sawadogo ana nguvu sana pale thimba
Hakika bado hamjakaa sawa sisikii shabiki yeyote akiuliza kuhusu jezi zinatoka lini wakati mipango yote ya yanga ipo wazi.
Endeeeleni
Mwanzoni nilifikiri Luc Eymael ni mpuuzi . Lakini baada ya kutafakari kwa kina nikagunduwa Luc Eymael anastahili kujengewa mnara pale utopoloni.Makolo wapo wapo tu kama Manyumbu, yanapelekwa pelekekwa
Vita gani ambavyo Ahmed anapigana dhidi ya mpinzani mkuu wa Simba ?Simba , safu ya uongozi haijajipanga.
Hawasomi alama za nyakati....
Eneo la ufundi na marketing linahitaji watu wabunifu haswa...
Eneo la publicity linahitaji kuongezewa nguvu...
Ahmed Ally pekee haviwezi vita vya jirani