Simba wawaalika APR ya Rwanda siku ya Simba day

Simba wawaalika APR ya Rwanda siku ya Simba day

ngara23

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2019
Posts
9,091
Reaction score
21,087
Imethibitishwa siyo tetesi tena. Simba imeamua ku test kikosi chake dhidi ya APR ya Rwanda tarehe 3 August.

Simba wapo Egypt wakijifua Kwa Siri na wamecheza mchezo mmoja dhidi ya team ya daraja la pili na kupigwa goals 6. Lakini viongozi walipuuza kuwaharifu wanachama na mashabiki mwenendo wa team Yao huko pre season.

Simba wamearika team ndogo kutoka CECAFA tulitegemea waalike team giant kama tutavyofanya Yanga ambapo tutaleta kati ya Al Ahly, Mamelod, Es Tunis, TP Mazembe.

Simba wamealika team dhaifu ili wakiifunga wazidi kuwahadaa mashabiki wao mbumbumbu ati wana team nzuri.

Sasa ni hivi wajifiche ila tarehe 8 August itakuwa nane nane tutapiga 8
 
Imethibitishwa siyo tetesi tena .
Simba imeamua ku test kikosi chake dhidi ya APR ya Rwanda tarehe 3 August.

Simba wapo Egypt wakijifua Kwa Siri na wamecheza mchezo mmoja dhidi ya team ya daraja la pili na kupigwa goals 6.
Lakini viongozi walipuuza kuwaharifu wanachama na mashabiki mwenendo wa team Yao huko pre season.

Simba wamearika team ndogo kutoka CECAFA tulitegemea waalike team giant kama tutavyofanya Yanga ambapo tutaleta kati ya Al Ahly, Mamelod, Es Tunis, TP Nazembe.

Simba wamearika team dhaifu ili wakiifunga wazidi kuwahadaa mashabiki wao mbumbumbu ati wana team nzuri.
Sasa ni hivi wajifiche ila tarehe 8 August itakuwa nane nane tutapiga 8
Jifunze kiswahili sanifu kwanza.Siyo unaandikaandika tu kama unachambua senene au unamenya matoke.
 
Mzee magoma
Nikiwa AUGSBURG
UBUNTU BOTHO
downloadfile-1.jpg
 
Imethibitishwa siyo tetesi tena. Simba imeamua ku test kikosi chake dhidi ya APR ya Rwanda tarehe 3 August.

Simba wapo Egypt wakijifua Kwa Siri na wamecheza mchezo mmoja dhidi ya team ya daraja la pili na kupigwa goals 6. Lakini viongozi walipuuza kuwaharifu wanachama na mashabiki mwenendo wa team Yao huko pre season.

Simba wamearika team ndogo kutoka CECAFA tulitegemea waalike team giant kama tutavyofanya Yanga ambapo tutaleta kati ya Al Ahly, Mamelod, Es Tunis, TP Mazembe.

Simba wamealika team dhaifu ili wakiifunga wazidi kuwahadaa mashabiki wao mbumbumbu ati wana team nzuri.

Sasa ni hivi wajifiche ila tarehe 8 August itakuwa nane nane tutapiga 8
Shida sana, hayo ya Simba wewe yanakuhusu vipi? Waache na maisha yao.
 
Imethibitishwa siyo tetesi tena. Simba imeamua ku test kikosi chake dhidi ya APR ya Rwanda tarehe 3 August.

Simba wapo Egypt wakijifua Kwa Siri na wamecheza mchezo mmoja dhidi ya team ya daraja la pili na kupigwa goals 6. Lakini viongozi walipuuza kuwaharifu wanachama na mashabiki mwenendo wa team Yao huko pre season.

Simba wamearika team ndogo kutoka CECAFA tulitegemea waalike team giant kama tutavyofanya Yanga ambapo tutaleta kati ya Al Ahly, Mamelod, Es Tunis, TP Mazembe.

Simba wamealika team dhaifu ili wakiifunga wazidi kuwahadaa mashabiki wao mbumbumbu ati wana team nzuri.

Sasa ni hivi wajifiche ila tarehe 8 August itakuwa nane nane tutapiga 8
TP Mazembe ni kimeo waondoe hapo kwenye list, fasta
 
Imethibitishwa siyo tetesi tena. Simba imeamua ku test kikosi chake dhidi ya APR ya Rwanda tarehe 3 August.

Simba wapo Egypt wakijifua Kwa Siri na wamecheza mchezo mmoja dhidi ya team ya daraja la pili na kupigwa goals 6. Lakini viongozi walipuuza kuwaharifu wanachama na mashabiki mwenendo wa team Yao huko pre season.

Simba wamearika team ndogo kutoka CECAFA tulitegemea waalike team giant kama tutavyofanya Yanga ambapo tutaleta kati ya Al Ahly, Mamelod, Es Tunis, TP Mazembe.

Simba wamealika team dhaifu ili wakiifunga wazidi kuwahadaa mashabiki wao mbumbumbu ati wana team nzuri.

Sasa ni hivi wajifiche ila tarehe 8 August itakuwa nane nane tutapiga 8
Wanatest mitambo na APR ya Rwanda😆😆😆😆 wameona isiwe tabu acha watafute mchekea wakiiangukia wakaifunga mashabiki roho zao ziwe kwatu😆😆
 
Imethibitishwa siyo tetesi tena. Simba imeamua ku test kikosi chake dhidi ya APR ya Rwanda tarehe 3 August.

Simba wapo Egypt wakijifua Kwa Siri na wamecheza mchezo mmoja dhidi ya team ya daraja la pili na kupigwa goals 6. Lakini viongozi walipuuza kuwaharifu wanachama na mashabiki mwenendo wa team Yao huko pre season.

Simba wamearika team ndogo kutoka CECAFA tulitegemea waalike team giant kama tutavyofanya Yanga ambapo tutaleta kati ya Al Ahly, Mamelod, Es Tunis, TP Mazembe.

Simba wamealika team dhaifu ili wakiifunga wazidi kuwahadaa mashabiki wao mbumbumbu ati wana team nzuri.

Sasa ni hivi wajifiche ila tarehe 8 August itakuwa nane nane tutapiga 8
Waoneeni huruma jamanii, wakubwa wenzutu hawa.
 
Imethibitishwa siyo tetesi tena. Simba imeamua ku test kikosi chake dhidi ya APR ya Rwanda tarehe 3 August.

Simba wapo Egypt wakijifua Kwa Siri na wamecheza mchezo mmoja dhidi ya team ya daraja la pili na kupigwa goals 6. Lakini viongozi walipuuza kuwaharifu wanachama na mashabiki mwenendo wa team Yao huko pre season.

Simba wamearika team ndogo kutoka CECAFA tulitegemea waalike team giant kama tutavyofanya Yanga ambapo tutaleta kati ya Al Ahly, Mamelod, Es Tunis, TP Mazembe.

Simba wamealika team dhaifu ili wakiifunga wazidi kuwahadaa mashabiki wao mbumbumbu ati wana team nzuri.

Sasa ni hivi wajifiche ila tarehe 8 August itakuwa nane nane tutapiga 8
Waoga hao.
 
Back
Top Bottom