ngara23
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 9,091
- 21,087
Imethibitishwa siyo tetesi tena. Simba imeamua ku test kikosi chake dhidi ya APR ya Rwanda tarehe 3 August.
Simba wapo Egypt wakijifua Kwa Siri na wamecheza mchezo mmoja dhidi ya team ya daraja la pili na kupigwa goals 6. Lakini viongozi walipuuza kuwaharifu wanachama na mashabiki mwenendo wa team Yao huko pre season.
Simba wamearika team ndogo kutoka CECAFA tulitegemea waalike team giant kama tutavyofanya Yanga ambapo tutaleta kati ya Al Ahly, Mamelod, Es Tunis, TP Mazembe.
Simba wamealika team dhaifu ili wakiifunga wazidi kuwahadaa mashabiki wao mbumbumbu ati wana team nzuri.
Sasa ni hivi wajifiche ila tarehe 8 August itakuwa nane nane tutapiga 8
Simba wapo Egypt wakijifua Kwa Siri na wamecheza mchezo mmoja dhidi ya team ya daraja la pili na kupigwa goals 6. Lakini viongozi walipuuza kuwaharifu wanachama na mashabiki mwenendo wa team Yao huko pre season.
Simba wamearika team ndogo kutoka CECAFA tulitegemea waalike team giant kama tutavyofanya Yanga ambapo tutaleta kati ya Al Ahly, Mamelod, Es Tunis, TP Mazembe.
Simba wamealika team dhaifu ili wakiifunga wazidi kuwahadaa mashabiki wao mbumbumbu ati wana team nzuri.
Sasa ni hivi wajifiche ila tarehe 8 August itakuwa nane nane tutapiga 8